Mimi ODM... Nitoke na nani leo??

Ahaaa mambo si ndo hayo bana nimeona bandiko lako la kutafuta mchumba:



Mimi nimefit vigezo kasoro moja tu........mwembamba kama chelewa......are yu interested?

platozoom mbona bandiko langu kule Lv umelileta ChitChat without Permisn?
Naomba uli-delete bhana.
Sio mambo hayo.
 
Last edited by a moderator:
Hahahaha Kijana una nidhamu sana... Nawe nakukabizi charminglady bila mahari mkavunje jungu.


mhh mhh mhhhh dayuuummm...ndio maana napenda wanawake wa kibantu...cheki miguu hiyo..paja limeenda shule hapo ukicheki macho ni anakuita njoo kwangu...la haula!! Raha sana kua mwanaume maana tunaona na kutamani mengi sana
 
Mwaaa my sugar wife material. Muulize mke mwenza cacico akuambie mbaya wangu ambaye ni mbaya wenu pia. BTW ulikuwa wapi muda wote?
BADILI TABIA, we mithd u, mpaka nikakuulizia kha? lol! nakwambia kuna mtu huyo, ana shepu ya pilipili hoho, ndio haswaaaaaa kamuudhi hubby wetu! namsomea albadil hapa tayari! miguu imnyooke ka tubelights, na atapike bahari, nonstop!
 
Last edited by a moderator:
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…