Mimi shabiki wa CR7 naomba kombe lisiende Argentina

Mimi shabiki wa CR7 naomba kombe lisiende Argentina

Abdul Mganyizi

JF-Expert Member
Joined
Oct 28, 2019
Posts
1,042
Reaction score
2,005
Nisimungunye maneno ,kwa moyo wangu wa dhati na kama ningekuwa namjua mganga wa kuloga ningeomba awaloge Argentina wasibebe World Cup.

CR7 umri umekwisha hope hataonekana kwenye next world cup, lakini amepambana sana kwa kuipambania Ureno lakini Mungu hajawa upande wake .Sasa naomba Mungu Sana wote wakose hata Andunje nae alikose hilo kombe ngoma iwe droo.

Kesho nakuomba sana Alkahel Mwakipesile Mbape ufanye yako ili huyu A dunje anaejifanya yeye ndoo Mungu wa watu wa Argentina alie machozi.Na najua nae ndoo anastaafu kwenye michuano ya world cup. Eee Mungu tusaidie.
 
Ni bora unywe sumu kabsa,mana kesho LAPUGA anakwenda kuandika history
Nisimungunye maneno ,kwa moyo wangu wa dhati na kama ningekuwa namjua mganga wa kuloga ningeomba awaloge Argentina wasibebe world cup.CR7 umri umekwisha hope hataonekana kwenye next world cup ,lakini amepambana sana kwa kuipambania Ureno lakini Mungu hajawa upande wake .Sasa naomba Mungu Sana wote wakose hata Andunje nae alikose hilo kombe ngoma iwe droo.
Kesho nakuomba sana Alkahel Mwakipesile Mbape ufanye yako ili huyu A dunje anaejifanya yeye ndoo Mungu wa watu wa Argentina alie machozi.Na najua nae ndoo anastaafu kwenye michuano ya world cup.Eee Mungu tusaidie.
 
Mungu kajibu maombi ss hiv timu kususa wana makasiriko haswa
 
Back
Top Bottom