mfa maji huyo,,,amenunua waandishi wamsafishe na wao wameshindwa,,,sasa naona ameamua kujisafisha yeye mwenyewe kupitia vikundi vya watu....Ipo siku tutasikia ameenda hata kwenye Kitchen Party nyie ngojeni tu..damu ya watu iko nyuma yake hadi mauti yamkute...