Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ivi ikitokea umetongozwa na demu utakubali hapo hapo
au na wewe utasema ngoja nikafikirie?
Ngoja nikafikirie
Kwani Boloyoung ni wa kike?Ha ha ha! mkuu nikupe dakika ngapi?
SafiKumbe ndo maana message yangu hukujibu PM me ni wakiumeni[emoji39]
Mmmmmh!!Ha ha ha! mkuu nikupe dakika ngapi?
Ndio nilishangaa hata mimiMmmmmh!!
Mkuu Boloyoung unampa dakika jamaa tena!!
Je akija na jibu la ndiyo nimekubari utafanyaje mkuu?
Au wewe ni she?
Demu ndio kakutongoza utakubali hapohapo (wewe kama ni me) au mpaka ukafikirie kuchelewesha majibu kama wanavyofanyaga wanawake?Mmmmmh!!
Mkuu Boloyoung unampa dakika jamaa tena!!
Je akija na jibu la ndiyo nimekubari utafanyaje mkuu?
Au wewe ni she?