Ha haaa haaaaaaa hawakukosea waliosema hakuna mkate mgumu mbele ya chai!hahahahahahahahahahah, tehe tehe tehe kwikwikwikwikwi oshoshoshoshoshsho kwakwakwakwakwa uwiiiii mbavu zangu mieeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
ama kweli kiboko ya mkate ni chai
hahahaahaha, sawa bwana! nakutakia Jumanne njemaHa haaa haaaaaaa hawakukosea waliosema hakuna mkate mgumu mbele ya chai!
Hata uwe wa ngano ile ya kienyeji, utalainika tu......ha haa haaaaaaaaa
Poa,Ahsante nawe piahahahaahaha, sawa bwana! nakutakia Jumanne njema
naona umeamua kufunguka kabisa [emoji23][emoji23][emoji23] hapana chezea chiki....subiri jibu lako hapahapa au ndio mambo ya PM?? [emoji23][emoji23]hahaahahha, Joseverest umeuona mtongozo wa mwanamke huo! hahahahha sasa sijui ataniambia nimpe muda afikirie hahahaha
hahahahaahnaona umeamua kufunguka kabisa [emoji23][emoji23][emoji23] hapana chezea chiki....subiri jibu lako hapahapa au ndio mambo ya PM?? [emoji23][emoji23]
nitamwambia ngoja niingie pharmacy mara moja naskia maumivu ya kichwaIvi ikitokea umetongozwa na demu utakubali hapo hapo
au na wewe utasema ngoja nikafikirie?
Huwa sitambui hisia zao (mgumu sana kupendwa labda nipende mimi)Kwanini???