Angalau waijue katiba, haki zao, wajibu wao, Sheria za nchi ili wajisimamie. Mwanasiasa ni nani hata akulaze lupango? Ni muhimu pia kuwa mfuatiliaji wa masuala ya nchi, rasilimali zinavyotumiwa, n.k.
Angalau waijue katiba, haki zao, wajibu wao, Sheria za nchi ili wajisimamie. Mwanasiasa ni nani hata akulaze lupango? Ni muhimu pia kuwa mfuatiliaji wa masuala ya nchi, rasilimali zinavyotumiwa, n.k.