my name is my name
JF-Expert Member
- Jan 12, 2015
- 2,016
- 2,397
Haki ya MUNGU vile mimi sio chizi ila watu wananitia uchizi. Kutotenda haki, kutenda ubaya, uongo etc. Vitu kama hivi ndio vinanitia uchizi na hivi vyote vinachangiwa na wanadamu. Mfano mtu akiweka promise halafu asifanye kama alivo promise huwa nakasirika sana nachanganyikiwa kabisa. Ndio nina hasira kidogo na nikikasirika wananiambia mimi ni chizi lakini ukipata kunifahamu kiundani utanipenda tu, sinaga matatizo na mtu ila ukiniletea matatizo mwisho wake utaniambia chizi tu 🤗