Mganguzi
JF-Expert Member
- Aug 3, 2022
- 1,604
- 3,715
Kutangaza nia sio kosa kisheria, na demokrasia tuliichagua ili tuifuate. Sasa kama chama changu CCM, kitaninyima haki ya kugombea 2025!
Na mwenyekiti akaruhusu fomu iwe moja tu! Na wakampa mmoja tu! Basi kwa mara ya kwanza nitakwenda kudai haki yangu ya kikatiba mahakamani, taratibu za chama sio katiba ya nchi, nitapewa fomu ya urais kupitia mahakama kuu!
Na mwenyekiti akaruhusu fomu iwe moja tu! Na wakampa mmoja tu! Basi kwa mara ya kwanza nitakwenda kudai haki yangu ya kikatiba mahakamani, taratibu za chama sio katiba ya nchi, nitapewa fomu ya urais kupitia mahakama kuu!