Kazi imeanza !! 2025 kazi ipo. 😅Kutangaza nia sio kosa kisheria, na demokrasia tuliichagua ili tuifuate. Sasa kama chama changu CCM, kitaninyima haki ya kugombea 2025!
Na mwenyekiti akaruhusu fomu iwe moja tu! Na wakampa mmoja tu! Basi kwa mara ya kwanza nitakwenda kudai haki yangu ya kikatiba mahakamani, taratibu za chama sio katiba ya nchi, nitapewa fomu ya urais kupitia mahakama kuu!
Usijekutwa kwenye sandarusi mitaa ya coco beach shauri yakoKutangaza nia sio kosa kisheria, na demokrasia tuliichagua ili tuifuate. Sasa kama chama changu CCM, kitaninyima haki ya kugombea 2025!
Na mwenyekiti akaruhusu fomu iwe moja tu! Na wakampa mmoja tu! Basi kwa mara ya kwanza nitakwenda kudai haki yangu ya kikatiba mahakamani, taratibu za chama sio katiba ya nchi, nitapewa fomu ya urais kupitia mahakama kuu!
Huyo mzanzibar unayemzungumzia anamalizia awamu ya 5 aliyorithi, hakuchaguliwa popote wala hakupitia huo mchakato wa chama wa kuchuja wagombea. Iweje mtake mchakato wa kutopingwa ufanyike kwa mtu aliyerithi?
Walikimbilia kuiita awamu ya 6 kimkakati kabisa ilhali kiuhalisia hii ni awamu ya 5. Hao ccm wasitake kutuvurugia nchi maana watu watauana wasipolipatia hili swala muafaka. 2025 makada waachwe huru wagombee, watu wamchague mtu wao wanayemtaka.
Huyo Mzanzibar kama kanogewa sana naye agombee na wanaume wa bara ndani ya chama aone kama watu wanamtaka aendelee kuwaongoza au la, ila kulazimishiwa kiongozi kwa ajili ya maslahi ya kakundi kadogo hatukubali asilani.
Kazi imeanza !! 2025 kazi ipo. [emoji28]
Kimenuka !!Kutangaza nia sio kosa kisheria, na demokrasia tuliichagua ili tuifuate. Sasa kama chama changu CCM, kitaninyima haki ya kugombea 2025!
Na mwenyekiti akaruhusu fomu iwe moja tu! Na wakampa mmoja tu! Basi kwa mara ya kwanza nitakwenda kudai haki yangu ya kikatiba mahakamani, taratibu za chama sio katiba ya nchi, nitapewa fomu ya urais kupitia mahakama kuu!
Tusubiri tuone. 🤣Kazi ni nyepesi kuliko kawaida,hakuna anaeweza kuthubutu kupambana na mwenyekit kama vp muulize andunje wa kongwa atakupa ushuhuda
CCM wanajua kwenda na mgombea aliepo Nchi itaenda upinzani.Huyo mzanzibar unayemzungumzia anamalizia awamu ya 5 aliyorithi, hakuchaguliwa popote wala hakupitia huo mchakato wa chama wa kuchuja wagombea. Iweje mtake mchakato wa kutopingwa ufanyike kwa mtu aliyerithi?
Walikimbilia kuiita awamu ya 6 kimkakati kabisa ilhali kiuhalisia hii ni awamu ya 5. Hao ccm wasitake kutuvurugia nchi maana watu watauana wasipolipatia hili swala muafaka. 2025 makada waachwe huru wagombee, watu wamchague mtu wao wanayemtaka.
Huyo Mzanzibar kama kanogewa sana naye agombee na wanaume wa bara ndani ya chama aone kama watu wanamtaka aendelee kuwaongoza au la, ila kulazimishiwa kiongozi kwa ajili ya maslahi ya kakundi kadogo hatukubali asilani.
Ila 2025 Bado mbaaaal!!!!Acha kuwaza siasa zaidi ya kazi Mama anatosha kwanza hadi 2030 ! Kwa sasa tuna changamoto ya baadhi ya vibaka ndani ya CCM ambao wameshaanza kukusanya pesa Kwa ajili ya kuusaka Urais wa 2030 badala ya 2025, Kwa CCM ilivyo hata awe nani hawezi kutoa Samia 2025 maana nikweleze ukweli kuna wazee watatu wanaheshimika hawamtaki Mama Samia kwamba Mzamzibari analegea sasa Kama tunaanza haya kisa ni mzanzibari na kuweka vipoint uchwara kwamba Wazanzibar wote wanalegea legea si sahihi
Mchakato Mzima ulizimwa pale ambapo Ndugai aliandikiwa barua ye akakutana nayo juu Kwa juu bila kujua imeandikwa na nani tena Kwa herufi kubwa !
Kama unajua kuusoma Upepo kipindi Meko south kafariki bado kujimwambafy Kwa Vijana na akina KATIBA Mkuu fulani akiwa na spika kuliwapo sana mpaka ikapngwa kwamba Mama 2025 apangwe vyote vile akae pembeni Kwa kutamka mwenyewe ili waweke Kina Kakurwa wao Lakin Mama hakuwa na kundi lenye mguvu ! Maana kwanza alidharaulika na Kina Polepole, Kina Sabaya Kina Bashiru
Bila Mabeyo nchi hii ingekuwa pabaya zaidi,
Hivo ishu ya msingi yakawa makundi mawili yenye Nguvu na kakundi kadogo kanyonge (Ka Samia) ambako hakakujua kwamba Kina Makamba wanataka kukatumia tu Kama stepping stone kuwamaliza Kina SUKUMA Gang , wakati akina majaliwa hawajui wafuate kundi gani maana Yule mzee mpole na ana hekima sana !
Hivyo hatua alizoshauriwa kuzichukua Kama Amiri Jeshi Mkuu watu wakashangaa aaaa Kumbe anaweza akakumaliza , baaasi hata akina Gwajima wakanywea maana mwanzoni walitunisha Korodani kwamba “KORONA IMEPATA WAPI NGUVU BAADA YA MAGUFULI KUNA HAPA KUNA NAMNA WASAIDIZI WAKE WAANGALIWE” ilikuwa Hotuba ya Gwajima ndani ya Kabisa lake Lakin baada ya kuona wazee walikuwa pamoja wamewekwa pembeni akaanza kurudi nyuma kwamba MI SI SUKUMA GANG WAACHE MAMA AFANYE KAZI ,
Urais hata we uwe dhaifu kiasi gani ukishakalia kiti kile watu wana obey unachosema maana Kina nguvu kubwa kile kiti Kwa KATIBA YETU NA TUOMBE TUSIPATE RAIS KICHAA TENA ITAKUWA ISHU,
Hivo pole Mushaija hata uende Mahakamani, Mahakama zinalipwa na Serikali ya Rais huyo huyo ambaye watachapisha form moja hivo tulia tu
Jipange 2045 baada ya Mavura ya Mtaka
Britanicca
Unapanga kugombea nafasi Gani?Kutangaza nia sio kosa kisheria, na demokrasia tuliichagua ili tuifuate. Sasa kama chama changu CCM, kitaninyima haki ya kugombea 2025!
Na mwenyekiti akaruhusu fomu iwe moja tu! Na wakampa mmoja tu! Basi kwa mara ya kwanza nitakwenda kudai haki yangu ya kikatiba mahakamani, taratibu za chama sio katiba ya nchi, nitapewa fomu ya urais kupitia mahakama kuu!