Uhuru24
JF-Expert Member
- May 2, 2015
- 4,112
- 4,361
Kwanini watu wengi hasa bongo hawapendi kabisa magari ya HYUNDAI,shida ni nini kufanya sio maarufu magari haya hapa bongo.
Ukiyatazama ni magari yanavutia sana kwa muonekano wa nje,kwa machache ninayoyaona yana muonekano wa upya kabisa.
Sasa shida ipo wapi kwa hii mikoko watu kutovutika nayo,unakuta mtu ananunua toyota hata aiyeleweki kuna wakati unakutana na gari barabarani mpaka unajiuliza huyu mtu kanunua au katunukiwa kazini.
Mwenyez Mungu akinijalia nikivuna pilipili zangu,ufuta na vitunguu nataka nijitwike hili dubwana.
Wenye uzoefu na hili dubwana tupeni changamoto zake kwanini watu wanazikwepa hizi gari.
Ukiyatazama ni magari yanavutia sana kwa muonekano wa nje,kwa machache ninayoyaona yana muonekano wa upya kabisa.
Sasa shida ipo wapi kwa hii mikoko watu kutovutika nayo,unakuta mtu ananunua toyota hata aiyeleweki kuna wakati unakutana na gari barabarani mpaka unajiuliza huyu mtu kanunua au katunukiwa kazini.
Mwenyez Mungu akinijalia nikivuna pilipili zangu,ufuta na vitunguu nataka nijitwike hili dubwana.
Wenye uzoefu na hili dubwana tupeni changamoto zake kwanini watu wanazikwepa hizi gari.