Mimi + Wewe = Ntakufa na wewe!

Mimi + Wewe = Ntakufa na wewe!

Gagurito

JF-Expert Member
Joined
Feb 11, 2011
Posts
5,600
Reaction score
806
kifupi huu wimbo niliupenda sana, then ujumbe wake ukikua mkubwa. Alikuwa ni Abb skilz na Blue enzi za 2003. Napenda ule mstari unaosema " jua wazi nikikuona roho inadunda, nipo radhi ndugu zangu wanivike sandaaa.... Oh oh oh mimi na wewe nitakufa na wewe...", Je unaukumbuka? Unapenda mstari gani ktk huo wimbo? Na ni wimbo gani ulikukamata enzi zile? BONGO FLEVA NAIPENDA!
 
hebu tukumbushane Bongo flava tulizo zipenda 2002/2008
 
Mi na wewe nitakufa nawewe! Hata waseme vipi nitakufa na wewe!

Dah! Long time kweli!
 
Umenikumbusha Ngwasuma....

1) Mara ya kwanza ulisema unanipenda sana
2) Mara ya pili.....
3) Mara ya tatu ukasema wa kufa na kuzikana

Je nikifa leo, utakubali tuzikwe pamoja........!!!!!!
 
Wizi mtupu! hakuna cha kufa na mtu wala kuzikana.
 
Umenikumbusha Ngwasuma....1) Mara ya kwanza ulisema unanipenda sana2) Mara ya pili.....3) Mara ya tatu ukasema wa kufa na kuzikanaJe nikifa leo, utakubali tuzikwe pamoja........!!!!!!
Ebwana eeeh!
 
Back
Top Bottom