Minada ya hadhara

Minada ya hadhara

kwelakenya

Member
Joined
Jan 21, 2010
Posts
59
Reaction score
6
Hivi wadau,nimekuwa nikifikiria kuanza kununua bidhaa kama nyumba,viwanja,magari au pikipiki kwenye minada ya hadhara. Sasa najiuliza,italipa?Naweza kupata vitu kwa bei nafuu kwenye minada then nikaiuza na kupata faida?
 
Back
Top Bottom