Maganga Mkweli
JF-Expert Member
- Jul 14, 2009
- 2,089
- 829
haya mama umesikia ila mi nilikuwa na watafuta members wa minakiDuh! Peleka chit chat
haya mama umesikia ila mi nilikuwa na watafuta members wa minaki
achana nae mnoko huyo!
ndio mkuu na kina side mnyamwezimaganga we ni yule wa makongoro wing 4?
shauri yako wewe ulisoma shule zisizojulikanamnachakachua jukwaa la elimu. Nyie vipi.
shauri yako wewe ulisoma shule zisizojulikana
ahahhaaah haya mama nimekusoma mhh ngoja nikae kimya.shule niliyosoma mlikuwa mnapenda sana kutualika kwenye matamasha yenu. Yaani bila sisi mlikuwa hamsikii raha. Najua ushajua shule gani.
shauri yako wewe ulisoma shule zisizojulikana
kuna mtu kakutuma ufungue hii thread?mnachakachua jukwaa la elimu. Nyie vipi.
teh teh teh!Yaani bila sisi mlikuwa hamsikii raha.
teh teh teh!mtoto wa juniour!!!Yaani bila sisi mlikuwa hamsikii raha.
mkuu unachokoza nyuki?... ujinga
shule niliyosoma mlikuwa mnapenda sana kutualika kwenye matamasha yenu. Yaani bila sisi mlikuwa hamsikii raha. Najua ushajua shule gani.