Tman900
JF-Expert Member
- May 30, 2017
- 589
- 1,897
Leo nimeipata kusoma mkataba na kumsikiliza Wakili Nguri hapa, Tanzania Nikafikirisha akili yangu nikagundua Watanzania Wezetu ndio wanaotuingiza kichaka kwa ku Saini Mikataba Mi bovu.
Pia huo mkataba unajua hauna manufaa kwa mtu anaekodisha Eneo lake wanakupa % chache sana za kupanda kwa Kodi na unapanda baada ya Miaka 5.
Kwa Mtazamo wangu haya makampuni ya Minara Wengi ni mataperi ikitokea wamekuja kwako kuitaji Eneo kwa ajiri ya kujenga mnara, kua makini na Mikataba yao wanakodi Eneo kwa maiaka 25, Sasa pesa watakayo kulipa Wala haiendani na uthamani wa Eneo nautapeli sana
Hawa watu wa minara, pia wanatumia maneno ya Ulaghai.
Hawa wandugu wameshapigwa.
Mkatata umesainiwa Miaka 25.
Yaani Eneo kama wametoa Bure.
Pia huo mkataba unajua hauna manufaa kwa mtu anaekodisha Eneo lake wanakupa % chache sana za kupanda kwa Kodi na unapanda baada ya Miaka 5.
Kwa Mtazamo wangu haya makampuni ya Minara Wengi ni mataperi ikitokea wamekuja kwako kuitaji Eneo kwa ajiri ya kujenga mnara, kua makini na Mikataba yao wanakodi Eneo kwa maiaka 25, Sasa pesa watakayo kulipa Wala haiendani na uthamani wa Eneo nautapeli sana
Hawa watu wa minara, pia wanatumia maneno ya Ulaghai.
Hawa wandugu wameshapigwa.
Mkatata umesainiwa Miaka 25.
Yaani Eneo kama wametoa Bure.