Andres
JF-Expert Member
- Dec 4, 2013
- 502
- 815
Wakuu Habari za muda huu?
Miaka kadhaa kidogo kuna mdau alitoa ushuhuda wa namna ambavyo minazi hutumika kupunguza gharama za mbao kwa ajili ya ujenzi. Kwa maana ya kwamba, kuna maeneo sikumbuki vizuri lakini ni njia ya kusini, mbagala kule. Watu hununua minazi kwa wamiliki wa mashamba na kukata mbao huko kwa gharama nafuu especially kwa wenye ujenzi mkubwa kidogo. Gharama zake hupungua hata nusu ya bei ya kawaida ya mbao.
Sasa basi Nimeutafuta huo uzi bila mafanikio, na nahitaji kweli hiyo huduma.
Naomba mwenye ufahamu wa hii njia mbadala ya kupunguza gharama za mbao za ujenzi anifahamishe [emoji1431]
Miaka kadhaa kidogo kuna mdau alitoa ushuhuda wa namna ambavyo minazi hutumika kupunguza gharama za mbao kwa ajili ya ujenzi. Kwa maana ya kwamba, kuna maeneo sikumbuki vizuri lakini ni njia ya kusini, mbagala kule. Watu hununua minazi kwa wamiliki wa mashamba na kukata mbao huko kwa gharama nafuu especially kwa wenye ujenzi mkubwa kidogo. Gharama zake hupungua hata nusu ya bei ya kawaida ya mbao.
Sasa basi Nimeutafuta huo uzi bila mafanikio, na nahitaji kweli hiyo huduma.
Naomba mwenye ufahamu wa hii njia mbadala ya kupunguza gharama za mbao za ujenzi anifahamishe [emoji1431]