Mind Blowing: Pesa moja mahitaji mawili

Mind Blowing: Pesa moja mahitaji mawili

Regent

JF-Expert Member
Joined
Oct 9, 2020
Posts
2,306
Reaction score
3,569
Nina 500 Tzs tu tatizo sio kuwa na hii 500 tu hii ni normal conditions.

Tatizo linapokuja hii ndio ya chai asubui alafu hiihii nataka nijiunge MB za 500 nifanye kitu cha muhimu.

Namekoma kuzaliwa.
 
Ka beti, cheza biko au mashine za wachina za kubahatisha. Kama unataka kupata ufanye vyote.
 
Piga binary mzee 0 asubuhi 1 mchana
 
Moderator aisee miniko serious eti wameweka uzi ChitChat kwamba nachoandika makuzi.
 
Back
Top Bottom