Rutashubanyuma JF-Expert Member Joined Sep 24, 2010 Posts 219,468 Reaction score 911,184 Feb 26, 2012 Thread starter #21 weee, hakuna kitu kibaya kama kupenda mtu mwenye meno 32. Very scary... Click to expand... kweli kabisa.........
weee, hakuna kitu kibaya kama kupenda mtu mwenye meno 32. Very scary... Click to expand... kweli kabisa.........
Rutashubanyuma JF-Expert Member Joined Sep 24, 2010 Posts 219,468 Reaction score 911,184 Feb 26, 2012 Thread starter #22 Hakuna anae nufaika hapo,ni hasara tupu. kama kweli mnapendana,hamuwezi kufanyiana vitu kama hivyo,wala kumuwazia hivyo. Click to expand... mwanadamu ni wa ajabu sana....wakati mwingine hufanya mambo ambayo huathiri masilahi yake mwenyewe ya muda mrefu........
Hakuna anae nufaika hapo,ni hasara tupu. kama kweli mnapendana,hamuwezi kufanyiana vitu kama hivyo,wala kumuwazia hivyo. Click to expand... mwanadamu ni wa ajabu sana....wakati mwingine hufanya mambo ambayo huathiri masilahi yake mwenyewe ya muda mrefu........