Girlie Girlie
Member
- Feb 19, 2011
- 87
- 4
Da...hii ni kiboko yake..., nimeipenda sana!
Huu ni ukweli kabisa, akipita msichana katika kundi la watu kama hivyo, lazima kuna hisia mbalimbali sahihi na chafu juu yake...!
AmeniACHA HOI msichana huyo aliyesema BITCH!...kISA ANAHISI AMEFUNIKWA NA HUYO ANAEKATIZA!
Mambo haya bana!:wink2:
Da...hii ni kiboko yake..., nimeipenda sana!
Huu ni ukweli kabisa, akipita msichana katika kundi la watu kama hivyo, lazima kuna hisia mbalimbali sahihi na chafu juu yake...!
AmeniACHA HOI msichana huyo aliyesema BITCH!...kISA ANAHISI AMEFUNIKWA NA HUYO ANAEKATIZA!
Mambo haya bana!:wink2:
LOL .. kumbe hajavaa kufuli
Si ndio zenu hizo lakini Darlingtone?Hata nepi ya matiti hajavaa
duh wanaona wivu hahha