Minenguo na tangazo la gesi vinaendana?

Minenguo na tangazo la gesi vinaendana?

LimaAlfa

Member
Joined
Dec 22, 2015
Posts
37
Reaction score
19
Wanjamii, salaam.
Nashuhudia minenguo ya matangazo mengi ya biashara hasa kwenye haya magari matangazo hapa mkabala na barabara ya Moro hapa magomeni.

Kinachoniacha sinto ni minenguo kutohusika na hisia ya mlengwa wa bidhaa tajwa! Gesi yauzwa, lakini fulani akata mauno ili ununue!? Tuwe wa-halisia, tuache ku corrupt nafsi.

Ukinunue gesi kwa hilo uno, basi sijui we nawe vipi? Tuache kuwa superficial!
 
Wewe wa Tanga ipi?watu wakata mauno?
 
hicho ndiyo kinachowavuta wengi kwenye biashara husika , waafrika ndivyo tulivyo
 
Minenguo hadi kupokea Wageni...... hivi huu utamuduni wetu au katabia kamejitokeza kutukuza wanasiasa?
 
hiyo minenguo ndio inayowavuta watu kwa karibu ili jamaa waweze kuwashawishi na kununua hiyo mitungi ya gesi
 
Hata binadamu ana gesi..
Pengine anavyonengua anajaribu kuonesha umma kiungo kinachotolea ges kwa mwanadam..
 
Kwani gesi inatoka Moshi mwenye viuno vikivyoungwa kwa welding?
Gesi inatoka kusini, viuno full lubricated, vitu lainiiii utadhani breakfast ni hydraulic
 
Back
Top Bottom