KERO Mining Cadastre Map ya Wizara ya Madini haipatikani

KERO Mining Cadastre Map ya Wizara ya Madini haipatikani

Hii ni kero ambayo mwananchi ameiwasilisha JF akitaka wahusika kuchukua hatua

OleWako

Member
Joined
Sep 7, 2021
Posts
10
Reaction score
43
Screenshot 2024-10-04 093428.png

Nilipotaka kuthibitisha taarifa kuhusu leseni za kuchimba madini ya lithium nchini niligundua ramani ya "Mining Cadastre" haipatikani tena. (http://portal.madini.go.tz/map/)

Wizara ya Madini wanataka tusipate access ya taarifa ya msingi hizi tena au kuna changamoto ya mfumo wa TEHAMA kwao?

Vile vile huduma ya ramani hii irudiwe na iendelezwe ili kuwezesha uwajibikaji wa utoaji wa leseni.
 
Ni kweli ndugu imekuwa mwanzoni nilikuwa naangalia kiurahisi kwenye mfumo ya coordinate lakini sasa hivi mambo kibao sijui wana nia gani.?
 
Back
Top Bottom