Ministry of health and social welfare.

KISUNZU

Member
Joined
Sep 12, 2013
Posts
43
Reaction score
5
Kwa mjibu wa ratiba ya wizara nchi nzima matokeo yatatangazwa Tarehe 23 september katika vyuo husika.
Wahusika ni WANAfunzi wateule wote.
 
Last edited by a moderator:
Kwa mjibu wa ratiba ya wizara nchi nzima matokeo yatatangazwa Tarehe 23 september katika vyuo husika.
Wahusika ni WANAfunzi wateule wote.

Ya kweli hayo? Haya kama ni kweli tunasubiri kwa hamu sana tunaomba mungu asaidie.
 
Last edited by a moderator:
Kwa mjibu wa ratiba ya wizara nchi nzima matokeo yatatangazwa Tarehe 23 september katika vyuo husika.
Wahusika ni WANAfunzi wateule wote.

Huja eleweka,
Unazungumzia mitihani au majina ya kujiunga vyuoni...kuwa muwazi sasa watu wakuelewe
 
Kwa mjibu wa ratiba ya wizara nchi nzima matokeo yatatangazwa Tarehe 23 september katika vyuo husika.
Wahusika ni WANAfunzi wateule wote.
matokeo ya mtihani gani tena mkuu?
 
Last edited by a moderator:
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…