Familia ya George Floyd iliushitaki mji wa Minneapolis, Minnesota na polisi wanne kwa mauaji ya kijana wao.
#BlackLivesMatter.
source: AL JAZEERA
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mbongo banaa[emoji848][emoji848]Duh ,wenzetu wanapesa mno,bilioni kama milioni kadhaa tu,ngoja niende uko nipigwe risasi ndugu zangu wapige mpunga
Risasi dakika 0 tu umekufa ,wanao wanakula mpunga,unaogopa kufa?Mbongo banaa[emoji848][emoji848]
Kuandamana tu kesi ijekuwa risasi, asubutuuu
Lipa madeni kwanza kabla hujaenda kujitoa sadakaDuh ,wenzetu wanapesa mno,bilioni kama milioni kadhaa tu,ngoja niende uko nipigwe risasi ndugu zangu wapige mpunga
Hyo ni American privilege. Siyo kwa raia wa nchi yeyote.Duh ,wenzetu wanapesa mno,bilioni kama milioni kadhaa tu,ngoja niende uko nipigwe risasi ndugu zangu wapige mpunga
Yeap kwasababu pesa ni nyingi mnoHii safi japo pesa na uhai havifanani.
Yatajilipa kwenye hiyo bilioniLipa madeni kwanza kabla hujaenda kujitoa sadaka
Alikuwa raia wa kawaida tu wala hta hakuwa celebrityHuyu alikua celebrity?