Aaron Arsenal
JF-Expert Member
- Jul 24, 2014
- 24,501
- 28,711
BREAKING NEWS:
Italian football agent Mino Raiola died after illness.
He was agent of Ibrahimovic, Pogba, Haaland etc
🚨 Football agent Mino Raiola has passed away according to the Italian media. 🙏😔
Taarifa Kadhaa huko Ulaya zinaripoti kifo cha wakala maarufu Raia wa Italia na Uholanzi Mino Raiola baada ya kuugua maradhi ambayo hayajawekwa wazi ambayo ameugua kwa muda mfupi,
#ripMinoRaiola
=============================
WAKALA WA ZLATAN, PAUL POGBA ANA HALI MBAYA
Wakala maarufu wa mchezo wa soka Mino Raiola imeelezwa kuwa bado ni mzima licha ya awali kuripitiwa kuwa amefariki dunia, leo Aprili 28, 2022.
Mino ni wakala wa wachezaji wengi wenye majina makubwa wakiwemo Paul Pogba, Zlatan Ibrahimovic na Erling Haaland
Ana umri wa miaka 54 na inadaiwa amelazwa Jijini Milan, Italia tangu Januari, 2022 ikidaiwa alifanyiwa upasuaji japo haikuwekwa wazi ulikuwa upasuaji wa nini.
Wachezaji wengine aliofanya kazi na marehemu ni Romelu Lukaku, Mario Balotelli, Marco Verratti na Henrikh Mkhitaryan.
Italian football agent Mino Raiola died after illness.
He was agent of Ibrahimovic, Pogba, Haaland etc
🚨 Football agent Mino Raiola has passed away according to the Italian media. 🙏😔
Taarifa Kadhaa huko Ulaya zinaripoti kifo cha wakala maarufu Raia wa Italia na Uholanzi Mino Raiola baada ya kuugua maradhi ambayo hayajawekwa wazi ambayo ameugua kwa muda mfupi,
#ripMinoRaiola
=============================
WAKALA WA ZLATAN, PAUL POGBA ANA HALI MBAYA
Wakala maarufu wa mchezo wa soka Mino Raiola imeelezwa kuwa bado ni mzima licha ya awali kuripitiwa kuwa amefariki dunia, leo Aprili 28, 2022.
Mino ni wakala wa wachezaji wengi wenye majina makubwa wakiwemo Paul Pogba, Zlatan Ibrahimovic na Erling Haaland
Ana umri wa miaka 54 na inadaiwa amelazwa Jijini Milan, Italia tangu Januari, 2022 ikidaiwa alifanyiwa upasuaji japo haikuwekwa wazi ulikuwa upasuaji wa nini.
Wachezaji wengine aliofanya kazi na marehemu ni Romelu Lukaku, Mario Balotelli, Marco Verratti na Henrikh Mkhitaryan.