Kwanza hampendezi kabisa zaidi ya kututisha tu, na ndiyo sababu hizo pochi zenu haziachi kutoa harufu.....fangasi wamekaa hapo miaka nenda rudi mpaka wanahisi labda umekufa.[emoji16] [emoji16]
Unakuta mwanamke mwenyewe ana minyama na shape kama kiboko halafu kapiga jeans imembana kama ametoka nayo tumboni kwa mama yake siku anazaliwa.[emoji35] [emoji35] [emoji35]
Sasa usirogwe umchukue umpeleke geto kwako[emoji134] [emoji134] [emoji134] [emoji134] , yani hata akiogea ndoo nzima ya sabuni ya Omo fast action hiyo harufu utakayokumbana nayo utafikiri umefunua mzoga wa punda.[emoji36] [emoji36] [emoji36]
Tumechoka.