Kwa hizi dalili nahisi Nina minyoo
.. kukosa hamu ya kula yaani CHAKULA hata kiwe kitamu vip huwa hakipandi aisee
... Mwili kuhisi uchovu, muda mwingi mwili unajihisi kuchoka hata kama sijafanya kazi
... Mwisho sikumbuki mara ya mwisho nilikunywa lini dawa za minyoo
Sent from my Infinix X665 using
JamiiForums mobile app