minyoo kwa watoto wadogo

massawe7

Member
Joined
Oct 28, 2011
Posts
10
Reaction score
1
kwa wenye kufaamu ni umri gani hasa mtoto mdogo anapaswa kupewa dawa za minyoo tafadhali nijulishe
 
Kama ni kwa ajili ya kinga,anapewa akifikisha mwaka mmoja.
Dawa zinazotumika zaidi tz:
Albendazole 200mg mara moja tu kwa < 2 yr.
AU
Albendazole 400mg mara moja tu kwa 2+ yrs.
AU
Mebendazole 500mg mara moja tu kwa 1+ yr.

Kama ni kwa ajili ya tiba,mtoto aliethibitika kuwa na minyoo atibiwe katika umri wowote kwa kuzingatia umri na dawa ifaayo kwa minyoo aliyonayo.
 
Mkuu iyo mara moja badada ya mwaka au miezi kadhaa?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…