Sechaba na LeratoVipi phindi na sechaba je?
Lerato ana mdomo simpendiSechaba na Lerato
Phindi ni chombo balaaVipi phindi na sechaba je?
Mr sibekoNikiwe Sibeko alivyokuwa anacheka huku anashangaa mi nilikuwa napenda balaa
Daaah kwa hiyo tushakuwa wazee, maisha yanaenda kasi sana.1. Derick Nyati
2. Mr.& Mrs Matabane
3. Leti
4. Paulsen
5. Papa G.
To mention but few. Wazee wenzangu ndio watanielewa
Huyu Nikiwe Sibeko nilikuwa namkubali sana. Halafu akaja eti akaliwa kimasihara na yule Pastor Fake Gabriel!! Aisee iliniuma sana.Nikiwe Sibeko alivyokuwa anacheka huku anashangaa mi nilikuwa napenda balaa
Gabriel mwamba sana yule jamaaHuyu Nikiwe Sibeko nilikuwa namkubali sana. Halafu akaja eti akaliwa kimasihara na yule Pastor Fake Gabriel!! Aisee iliniuma sana.
Baba yake Nina zamdela. Isindigo ilikuwa nzuri kinoma. Nilikuwa namkubali sana Lincolin Sebeko, Katlego, Zukisa na kitako chake, Nina Zamdela, Seshaba na kale akdemo kake kale ambako hakukaoa kalikuwa ka hustler sana halafu na Yule jamaa alikujaga kama pastor kumbe tapeli, Gabriel.George Zamdela a.k.a Papa GView attachment 2984766
LeratoBaba yake Nina zamdela. Isindigo ilikuwa nzuri kinoma. Nilikuwa namkubali sana Lincolin Sebeko, Katlego, Zukisa na kitako chake, Nina Zamdela, Seshaba na kale akdemo kake kale ambako hakukaoa kalikuwa ka hustler sana halafu na Yule jamaa alikujaga kama pastor kumbe tapeli, Gabriel.
Yes huyo huyo alicheat seshabaLerato
...πππBaba yake Nina zamdela. Isindigo ilikuwa nzuri kinoma. Nilikuwa namkubali sana Lincolin Sebeko, Katlego, Zukisa na kitako chake, Nina Zamdela, Seshaba na kale akdemo kake kale ambako hakukaoa kalikuwa ka hustler sana halafu na Yule jamaa alikujaga kama pastor kumbe tapeli, Gabriel.