Smt016
JF-Expert Member
- Jan 11, 2016
- 3,012
- 4,300
Wafuatao ni kundi la watu wenye shughuli yao maalumu siku ya tarehe 28.
1) Wanachama wa NSSF.
2) Waliotimuliwa kwa vyeti feki pamoja na familia na ndugu zao waliokuwa wanawategemea nao wakijiunga kwenye jambo lao.
3) waajiriwa wa serikalini wasiongezwa mishahara huku waliokuwa tegemezi wao nao wakijumuika katika shughuli maalumu ya hiyo tarehe 28.
4) Waliobomolewa nyumba Kimara.
5) Wamiliki wa sekta binafsi zilizokufa, pamoja na ndugu na familia waliokuwa wategemezi nao kujumuika kwenye jambo lao hiyo siku
6) Waajiliwa wa sekta binafsi waliokumbwa na kuachishwa kazi baada ya kubanwa kwa sekta binafsi huku familia na ndugu wakiwaunga mkono kwenye jambo lao tarehe 28
7) Wamiliki wa vyombo vya habari waliokutwa na kadhia ya kufungiwa kwa vyombo vya habari na huku ndugu tegemezi wakijumuika pia kwenye kazi maalumu tarehe 28
8) Wahitimu wa vyuo tokea 2015 mpaka sasa wanarandaranda mtaani hawana mbele wala nyuma kwa kukosa ajira watakuwa na jambo lao tarehe 28. Bila shaka ndugu zao wataunga mkono juhudi zao kwenye jambo lao.
9) Waliokumbwa na maafa mbalimbali wakitegemea kauli ya faraja lakini wakaambulia kauli ya kebehi, bila shaka watajumuika nawengine kwenye kilele cha jambo lao itakayofanyika tarehe 28.
10) Walipatwa na sekeseke kutoka kwa watu wasiyojulikana bila shaka walionusurika wataungana pamoja na ndugu zao kwenye sherehe ya jambo lao mnamo tarehe 28.
11) Waliopo vijijini waliopigika na maisha wasiona wala kuelewa thamani ya flyover na mandege watakuwa miongoni mwa watu watakaokuwa kwenye sherehe ya kilele cha shughuli maalumu ya tarehe 28.
12) Waliyopewa ahadi na kisha hiyo ahadi mpaka leo haijatekelezwa na wao watukuwa kwenye hiyo sherehe ya tarehe 28.
Mfano wa watu waliyoahidiwa jambo halafu halijatekelezwa ni watu wa wilaya ya Kilombero. Mwaka 2016 rahisi alienda na aliahidi kutengeneza barabara kwa kiwango cha lami kutoka Ruaha mpqka ifakara, lakini tokea 2016 mpaka sasa 2020 hakuna lami.
KHiiiiiiiiiiii bila kusahau.
13) Wafanyabiashara nao watakuwa kwenye kilele cha siku ya jambo lao tarehe 28.
Ongeza mengine unayohisi limesahaulika kwenye kilele cha sherehe la jambo letu itakayofanyika tarehe 28 October.
1) Wanachama wa NSSF.
2) Waliotimuliwa kwa vyeti feki pamoja na familia na ndugu zao waliokuwa wanawategemea nao wakijiunga kwenye jambo lao.
3) waajiriwa wa serikalini wasiongezwa mishahara huku waliokuwa tegemezi wao nao wakijumuika katika shughuli maalumu ya hiyo tarehe 28.
4) Waliobomolewa nyumba Kimara.
5) Wamiliki wa sekta binafsi zilizokufa, pamoja na ndugu na familia waliokuwa wategemezi nao kujumuika kwenye jambo lao hiyo siku
6) Waajiliwa wa sekta binafsi waliokumbwa na kuachishwa kazi baada ya kubanwa kwa sekta binafsi huku familia na ndugu wakiwaunga mkono kwenye jambo lao tarehe 28
7) Wamiliki wa vyombo vya habari waliokutwa na kadhia ya kufungiwa kwa vyombo vya habari na huku ndugu tegemezi wakijumuika pia kwenye kazi maalumu tarehe 28
8) Wahitimu wa vyuo tokea 2015 mpaka sasa wanarandaranda mtaani hawana mbele wala nyuma kwa kukosa ajira watakuwa na jambo lao tarehe 28. Bila shaka ndugu zao wataunga mkono juhudi zao kwenye jambo lao.
9) Waliokumbwa na maafa mbalimbali wakitegemea kauli ya faraja lakini wakaambulia kauli ya kebehi, bila shaka watajumuika nawengine kwenye kilele cha jambo lao itakayofanyika tarehe 28.
10) Walipatwa na sekeseke kutoka kwa watu wasiyojulikana bila shaka walionusurika wataungana pamoja na ndugu zao kwenye sherehe ya jambo lao mnamo tarehe 28.
11) Waliopo vijijini waliopigika na maisha wasiona wala kuelewa thamani ya flyover na mandege watakuwa miongoni mwa watu watakaokuwa kwenye sherehe ya kilele cha shughuli maalumu ya tarehe 28.
12) Waliyopewa ahadi na kisha hiyo ahadi mpaka leo haijatekelezwa na wao watukuwa kwenye hiyo sherehe ya tarehe 28.
Mfano wa watu waliyoahidiwa jambo halafu halijatekelezwa ni watu wa wilaya ya Kilombero. Mwaka 2016 rahisi alienda na aliahidi kutengeneza barabara kwa kiwango cha lami kutoka Ruaha mpqka ifakara, lakini tokea 2016 mpaka sasa 2020 hakuna lami.
KHiiiiiiiiiiii bila kusahau.
13) Wafanyabiashara nao watakuwa kwenye kilele cha siku ya jambo lao tarehe 28.
Ongeza mengine unayohisi limesahaulika kwenye kilele cha sherehe la jambo letu itakayofanyika tarehe 28 October.