Mipango miji: Sehemu za wazi kufanyia mazoezi hasa calisthenics zipo wapi?

Mipango miji: Sehemu za wazi kufanyia mazoezi hasa calisthenics zipo wapi?

Uhakika Bro

JF-Expert Member
Joined
Mar 29, 2022
Posts
3,644
Reaction score
4,315
Habari wana JF

Juzijuzi tu tumesikia taarifa mbaya ya watu kugongwa na gari wakiw wanafanya mazoezi barabarani.

Maoni ya wadau yakawa mengi mbalimbali.

Mi nina swali kwa wapangao miji. Kutokana na ongezeko la urahisi wa kazi maofisini. Watu wengi zaidi wanaingia kwenye kutakiwa kufanya mazoezi ili kuwa fit kiafya.

Sasa kwa kuwa mabarabarani kuna fujo, magari na hewa mbaya. Mnaonaje kututengea na kuboresha maeneo ya wazi yawe bora na toshelevu kwa mazoezi.

Yaani mtu akiingia kwenye hii park anatoka ametweta na six packs juu. Hata kama kutakuwa na kieneo kikawa na vyuma (weight) mbili tatu. Ila zaidi ni calisthenics maana hazihamishiki kurahisisha hata usalama wake.

Nnachomaanisha inawekwa miundombinu ya kuwezesha;
Jogging - kirunway hivi
Cycling hii ni kuwezesha watu kuendesha baiskeli kwenye park na zaidi mijini huko
Push up
Pull up

Calisthenic mbalimbali tu
Hata ikiwezekana vipavement vya michezo isohitaji uwanja mkubwa sana kama basketball hivi.

Sehemu ya kupumzikia kama tu mazingira. Kusocialize na kuwafundisha watoto tabia nzuri ya kufanya mazoezi. Inaweza kuwa katikati ya roundabout pembeni hivi, vitoto vya shule vinaona vikiwa ndani ya schoolbus zao kwamba mazoezini afya.

Miradi hii inadhaminiwa na wananchi wenyewe kupitia serikali yao.

Nadhani kama tumeweza kufadhili miundombinu mikubwa ya stendi za mabasi. Vile tulivyozipendezesha. Hii miradi ni rahisi zaidi. Kwanza ipo open na nikuchomelea tu mavyumavyuma. Eaasy.

Ulaya wanayo. Lakini luxury ndogondogo kama hizi aaaah. Anyway. Nawasilisha

Picha: mzee wa miaka 70, anayetumia miundombinu ya namna hiyo kujiweka fit.

Screenshot_20230727-092637_YouTube.jpg
Screenshot_20230727-085519_YouTube.jpg
Screenshot_20230727-085417_YouTube.jpg
 
Habari wana JF

Juzijuzi tu tumesikia taarifa mbaya ya watu kugongwa na gari wakiw wanafanya mazoezi barabarani.

Maoni ya wadau yakawa mengi mbalimbali.

Mi nina swali kwa wapangao miji. Kutokana na ongezeko la urahisi wa kazi maofisini. Watu wengi zaidi wanaingia kwenye kutakiwa kufanya mazoezi ili kuwa fit kiafya.

Sasa kwa kuwa mabarabarani kuna fujo, magari na hewa mbaya. Mnaonaje kututengea na kuboresha maeneo ya wazi yawe bora na toshelevu kwa mazoezi.

Yaani mtu akiingia kwenye hii park anatoka ametweta na six packs juu. Hata kama kutakuwa na kieneo kikawa na vyuma (weight) mbili tatu. Ila zaidi ni calisthenics maana hazihamishiki kurahisisha hata usalama wake.

Nnachomaanisha inawekwa miundombinu ya kuwezesha;
Jogging - kirunway hivi
Cycling hii ni kuwezesha watu kuendesha baiskeli kwenye park na zaidi mijini huko
Push up
Pull up

Calisthenic mbalimbali tu
Hata ikiwezekana vipavement vya michezo isohitaji uwanja mkubwa sana kama basketball hivi.

Sehemu ya kupumzikia kama tu mazingira. Kusocialize na kuwafundisha watoto tabia nzuri ya kufanya mazoezi. Inaweza kuwa katikati ya roundabout pembeni hivi, vitoto vya shule vinaona vikiwa ndani ya schoolbus zao kwamba mazoezini afya.

Miradi hii inadhaminiwa na wananchi wenyewe kupitia serikali yao.

Nadhani kama tumeweza kufadhili miundombinu mikubwa ya stendi za mabasi. Vile tulivyozipendezesha. Hii miradi ni rahisi zaidi. Kwanza ipo open na nikuchomelea tu mavyumavyuma. Eaasy.

Ulaya wanayo. Lakini luxury ndogondogo kama hizi aaaah. Anyway. Nawasilisha

Picha: mzee wa miaka 70, anayetumia miundombinu ya namna hiyo kujiweka fit.

View attachment 2702207View attachment 2702208View attachment 2702210
Nchi bado haina uwezo wa kutoa basic needs za uhakika we unawaza haya?
 
Nchi bado haina uwezo wa kutoa basic needs za uhakika we unawaza haya?
This is prety basic

Tena tangu tunaanza tulisema tutapambana na ujinga, maradhi na umasikini.

Tena mi siipendi hiyo kaulimbiu ningeweza kumshauri baba wa taifa nigemwambia tuwaambie wananchi kuwa tunataka kuboresha AKILI/HEKIMA zetu, AFYA zetu na UTAJIRI.

Kwenye kuwaza afya ndio tutawaza kufanya vitu vya kuleta afya kama hivi. Kwani wewe umewezaje kuwaza kuwa kuagiza madawa ni sahihi, ila sio kujenga open gym park. Manaake hicho ndicho serikali inafanya. Usiniambie kuhusu chakula, pakulala na mavazi ambayo ni by definition ya basic needs. Kwa sababu hayo yamekuwa yakifanywa na mtu mmojammoja na sio serikali as we know it.
 
Ufukwe /beach ya Senegal yote imetengwa Kwa mazoezi yote Sasa huko bongo CCM wanauza hadi BANDARI ,hawana mipango zaidi ya kuwaza mikopo ya kufanyia uchaguzi
 
Ni kitu kizuri na kinawezekana boss...ila sidhani kama kipo akilini mwa wanasiasa wetu...
Kupangilia makazi ya kawaida ya watu na kudhibiti ujenzi holela wameshindwa,...mitaa haina hata viwanja vya mpira vya kawaida tu.
Na ujenzi unaendelea [emoji1]
 
Back
Top Bottom