Katika vitu ambavyo natamani kuona ni simba kuingia katika mfumo wa HISA
Kwa mtindo huu simba inaweza kuwa kama club nyingine barani Afrika na dunia kwa ujumla
Mimi kama mwanachama naukaribisha mpango huu kwa mikono miwili
Na wale wote wenye mapenzi mema na simba sc hawana budi kuunga mkono hatua hii ya club kuelekea katika mfumo wa HISA
Mchakato umefikia patamu kivipi ?
Tuelezee kidogo kwani sisi wa mikoani hatapati magazeti mengine.
Fafanua kidogo ili tujue hatua iliyofikiwa na timu ya Simba katika mchakato wa hisa.