Habari wakuu,
Mimi ni Mtanzania kindaki ndaki. Nimepata nafasi ya kutembelea maeneo kadhaa nje na ndani ya nchi. Hakuna jambo linanikera kama namna tunaishia kama mifugo katika nchi yetu. Ni kama tuko katika banda la wanyama. Hakuna mpangilio wala hakuna kiongozi yeyote anaezungumzia hilo
Ukiangalia tafiti za mashirika mbalimbali, Dar ni jiji litakalokua na watu wengi sana ifikapo 2030
Utafiti wa the citizen
Utafiti wa world bank
Nimeona nifungue hili jukwaa tuweze kujadili kwa undani, nini hasa kifanyike na pia ni viongozi gani tuweza kuwapata tujiunge na kufanya lobbying katika wizara husika
Tunafahamu nchi yetu ina shida ya ukwasi, hivyo mawazo yetu yawe ya kutumia resources chache na kuleta tofauti kubwa. Mpango huu utaweza kufanya makadirio ya maji na umeme (Wote tunajua shida ya junk electricity <umeme mdogo> tuliyonayo mtaani na pia shida ya maji)
Jiji la Dar kwa miaka 50 - 80 ijayo
Phase I (Upande wa juu wa Morogoro road. Kuanzia Ubungo - Saadani National Park)
Ushauri wangu utaanzia barabara ya mbezi - goba - Wazo hadi Saadani.
1. Bagamoyo - Kibaha - Chalince iwe ni part ya Dar
2. Katikati ya Mogorogo road na Bagamoyo road, serikali itenge Central Park (Amani Central Park) itakayo fika hadi mpakani mwa Saadani National Park. Amani park iwe na upana wa km 2 - 3
3. Kutengenezwa njia kuu 8 upande wa juu na wa chini wa amani central park
4. Upande wa juu na wa chini wa Amani, yaachwe maeneo kwa ajili ya biashara na makazi (skyscrapers)
5. Kila baada ya kiiomita kadhaa, kuwe na barabara za mitaa kugawanya maeneo ya makazi, biashara, burudani, masoko, shule, golf courses + michezo kwa ujumla, nk. Hii itakua ni mistatili. Kila mstatili utapatiwa makadirio ya maji na Umeme na kua maintained kwa urahisi
6. Barabara hizo kuu ziwe sio chini ya njia 4, huku za mitaa ziwe na njia 2 kila upande, hii bila kusahau lane za watembea kwa miguu, treni katikati na at least 2 lanes kila update for future use
7. Katikati ya Amani central Park, kuweke uwanja wa Matamasha ya jijini DSM
8. Mwisho wa Amani Park, itengenezwe Tanzanite Towers itakayo angalia Amani central Park & Saadani national Park
9. Utengenezwe uzio wa kuingia Saaadani na kisha maeneo hayo yawe ni prime kwa ajili ya the super rich
10. Maeneo ya umwagiliaji ruvu yabaki kama yalivyo
Nini tufanye kwa wenye viwanja + nyumba zao
1. Wenye maeneo sasa ivi, waandikishwe na watapewa viwanja baada ya eneo lote kupimwa
2. Walio na nyumba, baada ya zoezi la kupima kukamilika, watapewa nyumba standards katika maeneo yaliyopimwa
Makadirio ya Plan hii inaweza kuchukua miaka 5 - 8 hadi kukamilika
Faida
1. Kuongeza wigo wa ukusanyaji kodi.
a. Kodi ya ardhi
b. Kodi ya mauzo/manunua inapofanyika
c. Mapato kupitia Amani Park
2. Kuongeza soko la mali isiyohamishika (real estate)
3. Miji ikipangwa vizuri + mifumo sahihi, wawekezaji watakuja zaidi na uchumi kukua
4. Kukuza utalii
Karibuni tujadili wakuu
Mimi ni Mtanzania kindaki ndaki. Nimepata nafasi ya kutembelea maeneo kadhaa nje na ndani ya nchi. Hakuna jambo linanikera kama namna tunaishia kama mifugo katika nchi yetu. Ni kama tuko katika banda la wanyama. Hakuna mpangilio wala hakuna kiongozi yeyote anaezungumzia hilo
Ukiangalia tafiti za mashirika mbalimbali, Dar ni jiji litakalokua na watu wengi sana ifikapo 2030
Utafiti wa the citizen
Utafiti wa world bank
Nimeona nifungue hili jukwaa tuweze kujadili kwa undani, nini hasa kifanyike na pia ni viongozi gani tuweza kuwapata tujiunge na kufanya lobbying katika wizara husika
Tunafahamu nchi yetu ina shida ya ukwasi, hivyo mawazo yetu yawe ya kutumia resources chache na kuleta tofauti kubwa. Mpango huu utaweza kufanya makadirio ya maji na umeme (Wote tunajua shida ya junk electricity <umeme mdogo> tuliyonayo mtaani na pia shida ya maji)
Jiji la Dar kwa miaka 50 - 80 ijayo
Phase I (Upande wa juu wa Morogoro road. Kuanzia Ubungo - Saadani National Park)
Ushauri wangu utaanzia barabara ya mbezi - goba - Wazo hadi Saadani.
1. Bagamoyo - Kibaha - Chalince iwe ni part ya Dar
2. Katikati ya Mogorogo road na Bagamoyo road, serikali itenge Central Park (Amani Central Park) itakayo fika hadi mpakani mwa Saadani National Park. Amani park iwe na upana wa km 2 - 3
3. Kutengenezwa njia kuu 8 upande wa juu na wa chini wa amani central park
4. Upande wa juu na wa chini wa Amani, yaachwe maeneo kwa ajili ya biashara na makazi (skyscrapers)
5. Kila baada ya kiiomita kadhaa, kuwe na barabara za mitaa kugawanya maeneo ya makazi, biashara, burudani, masoko, shule, golf courses + michezo kwa ujumla, nk. Hii itakua ni mistatili. Kila mstatili utapatiwa makadirio ya maji na Umeme na kua maintained kwa urahisi
6. Barabara hizo kuu ziwe sio chini ya njia 4, huku za mitaa ziwe na njia 2 kila upande, hii bila kusahau lane za watembea kwa miguu, treni katikati na at least 2 lanes kila update for future use
7. Katikati ya Amani central Park, kuweke uwanja wa Matamasha ya jijini DSM
8. Mwisho wa Amani Park, itengenezwe Tanzanite Towers itakayo angalia Amani central Park & Saadani national Park
9. Utengenezwe uzio wa kuingia Saaadani na kisha maeneo hayo yawe ni prime kwa ajili ya the super rich
10. Maeneo ya umwagiliaji ruvu yabaki kama yalivyo
Nini tufanye kwa wenye viwanja + nyumba zao
1. Wenye maeneo sasa ivi, waandikishwe na watapewa viwanja baada ya eneo lote kupimwa
2. Walio na nyumba, baada ya zoezi la kupima kukamilika, watapewa nyumba standards katika maeneo yaliyopimwa
Makadirio ya Plan hii inaweza kuchukua miaka 5 - 8 hadi kukamilika
Faida
1. Kuongeza wigo wa ukusanyaji kodi.
a. Kodi ya ardhi
b. Kodi ya mauzo/manunua inapofanyika
c. Mapato kupitia Amani Park
2. Kuongeza soko la mali isiyohamishika (real estate)
3. Miji ikipangwa vizuri + mifumo sahihi, wawekezaji watakuja zaidi na uchumi kukua
4. Kukuza utalii
Karibuni tujadili wakuu