Rashda Zunde
JF-Expert Member
- May 28, 2022
- 204
- 231
Shirika la Maendeleo ya Petroli Tanzania (TPDC) limeanza mchakato wa ujenzi wa bomba la gesi kutoka Ntorya hadi Madimba lenye urefu wa kilomita 35.
Mchakato huo umeanza kwa kufanya mkutano wa uhamasishaji kwa wananchi wa kata ya Madimba, Moma, Mbawala na Nanguruwe kuhusu ujenzi wa mradi huo ambao utaanzia kijiji cha Ntorya.
Awamu ya 6 inazidi kutuhakikishia kwamba inaendeleza miradi yote hakuna kitu kitaachwa nyuma.
Mchakato huo umeanza kwa kufanya mkutano wa uhamasishaji kwa wananchi wa kata ya Madimba, Moma, Mbawala na Nanguruwe kuhusu ujenzi wa mradi huo ambao utaanzia kijiji cha Ntorya.
Awamu ya 6 inazidi kutuhakikishia kwamba inaendeleza miradi yote hakuna kitu kitaachwa nyuma.