Unasema “miradi” halafu unataja mmoja wa kilometa 35 tu?? Ninadhani ungeeleza kwanza SGR, JNHPP inaendeleaje! Sasa hivi haisikiki tena, je hakuna tarehe nyingine ya miradi kuisha?
Katika hali ya kawaida, kwanini tunakuwa na miradi mingi ambayo inafanywa nusu nusu katika wakati mmoja?? Najua utasema ni miradi inayosimamiwa na taasisi tofauti so hakuna haja ya kusubiriana - je iko hivo katika financing pia? Kwamba wafadhili ni tofauti?? Au ni serikali hii unayoisifia?
Kizazi cha kusifiasifia tu bila kuhoji! Bogus!