Miradi inayofunguliwa Zanzibar na kukamilika ni Mingi kuliko Tanganyika kuanzia 2020s

Miradi inayofunguliwa Zanzibar na kukamilika ni Mingi kuliko Tanganyika kuanzia 2020s

simon2016

JF-Expert Member
Joined
Oct 19, 2020
Posts
598
Reaction score
1,715
Kama upo makini na ufatiliaji wa maendeleo ya Tanzania basi utagundua kwa hiki kipindi ni kama kuna uzinduliwaji na ujengwaji wa miradi Mingi kwa kasi upande wa Unguja na Pemba nitainisha kwa kutaja sekta nne katika Mengi yaliyofanywa Na Raisi wetu Mpendwa Dkt. Hussein Mwinyi.

Kuna miradi Mingi kwa mfano sekta ya elimu,michezo na usafiri pamoja na biashara imezinduliwa kwa haraka sana .
Mifano ipo ingia youtube utajionea

SWALI :- Kwa nini bara miradi haikamiliki kwa kasi wakati uwezekano upo na mfano ni zanzibar ?

SWALI :- Kwa nini bara nchi inaenda kama haina macho au malengo ? Kwa nini hatupati matumaini ya miradi kukamilika.

SWALI :- Kwa nini nchi hatuoni mikakati mipya ya kimaendeleo ?Je mikakati ni ya mtu na si cha chama kiasi akiondoka nchi inabaki bila macho ya kimkakati ya kujikomboa kiuchumi ili kujitegemea ? Kwa nini sasa nchi imepoa ?

SWALI :- Kwa nini miradi iliyopo imesimamisha miradi na sera za kimaendeleo mpya ? Je uongozi ndio tatizo hata kama makaratasi yapo na yana macho ya maendeleo ?


Je kwa ishara ya kufeli kwa falsafa za mikakati na sera za kimaendeleo katika nchi kati ya uongozi wa kwanza mpaka wa mwisho ni ishara bado tumetawaliwa kupitia ukoloni mambo leo na anaekaa katika kiti cha enzi huamua kutokana na alivyokalishwa na atanena kwa kadiri ya wapendavyo na lililo sahihi hatotimiza hata kama anaona ?


Kwa wale msiopenda maswali na kusoma mada ni kuwa nataka kujua kwa nini ukivuka maji miradi inazinduliwa kila baada ya wiki moja .

Nawasilisha Duku duku langu lenye wivu tele kwa Tanganyika NB:- Sijahusisha Muungano kuvunjwa.

TANZANIA YANGU NCHI YANGU .
 
Sasa kama Zanzibar wanachota pesa kutoka Tanganyika si lazima wafungue miradi mingi? Saa100 shikilia hapohapo na ukiondoka uwe umeandaa mzinzibar mwingine kuingoza Tanganyika maana wewe ndiye mkt wa chama katiba inakuruhusu. Lazima watanganyika tujue kwamba kwa muundo wa Muungano huu hautatufikisha popote.
 
Kama upo makini na ufatiliaji wa maendeleo ya Tanzania basi utagundua kwa hiki kipindi ni kama kuna uzinduliwaji na ujengwaji wa miradi Mingi kwa kasi upande wa Unguja na Pemba nitainisha kwa kutaja sekta nne katika Mengi yaliyofanywa Na Raisi wetu Mpendwa Dkt. Hussein Mwinyi.

Kuna miradi Mingi kwa mfano sekta ya elimu,michezo na usafiri pamoja na biashara imezinduliwa kwa haraka sana .
Mifano ipo ingia youtube utajionea

SWALI :- Kwa nini bara miradi haikamiliki kwa kasi wakati uwezekano upo na mfano ni zanzibar ?

SWALI :- Kwa nini bara nchi inaenda kama haina macho au malengo ? Kwa nini hatupati matumaini ya miradi kukamilika.

SWALI :- Kwa nini nchi hatuoni mikakati mipya ya kimaendeleo ?Je mikakati ni ya mtu na si cha chama kiasi akiondoka nchi inabaki bila macho ya kimkakati ya kujikomboa kiuchumi ili kujitegemea ? Kwa nini sasa nchi imepoa ?

SWALI :- Kwa nini miradi iliyopo imesimamisha miradi na sera za kimaendeleo mpya ? Je uongozi ndio tatizo hata kama makaratasi yapo na yana macho ya maendeleo ?


Je kwa ishara ya kufeli kwa falsafa za mikakati na sera za kimaendeleo katika nchi kati ya uongozi wa kwanza mpaka wa mwisho ni ishara bado tumetawaliwa kupitia ukoloni mambo leo na anaekaa katika kiti cha enzi huamua kutokana na alivyokalishwa na atanena kwa kadiri ya wapendavyo na lililo sahihi hatotimiza hata kama anaona ?


Kwa wale msiopenda maswali na kusoma mada ni kuwa nataka kujua kwa nini ukivuka maji miradi inazinduliwa kila baada ya wiki moja .

Nawasilisha Duku duku langu lenye wivu tele kwa Tanganyika NB:- Sijahusisha Muungano kuvunjwa.

TANZANIA YANGU NCHI YANGU .
Wizara zote na waziri husika na pesa wamekamata mwendo kuendana na urefu wa hizo kamba kwanza.
Mwenyewe akiwachekelea nao wakitoa sifa sana kwake.
 
Huu muungano ni muungano mufirisi
 
Kama upo makini na ufatiliaji wa maendeleo ya Tanzania basi utagundua kwa hiki kipindi ni kama kuna uzinduliwaji na ujengwaji wa miradi Mingi kwa kasi upande wa Unguja na Pemba nitainisha kwa kutaja sekta nne katika Mengi yaliyofanywa Na Raisi wetu Mpendwa Dkt. Hussein Mwinyi.

Kuna miradi Mingi kwa mfano sekta ya elimu,michezo na usafiri pamoja na biashara imezinduliwa kwa haraka sana .
Mifano ipo ingia youtube utajionea

SWALI :- Kwa nini bara miradi haikamiliki kwa kasi wakati uwezekano upo na mfano ni zanzibar ?

SWALI :- Kwa nini bara nchi inaenda kama haina macho au malengo ? Kwa nini hatupati matumaini ya miradi kukamilika.

SWALI :- Kwa nini nchi hatuoni mikakati mipya ya kimaendeleo ?Je mikakati ni ya mtu na si cha chama kiasi akiondoka nchi inabaki bila macho ya kimkakati ya kujikomboa kiuchumi ili kujitegemea ? Kwa nini sasa nchi imepoa ?

SWALI :- Kwa nini miradi iliyopo imesimamisha miradi na sera za kimaendeleo mpya ? Je uongozi ndio tatizo hata kama makaratasi yapo na yana macho ya maendeleo ?


Je kwa ishara ya kufeli kwa falsafa za mikakati na sera za kimaendeleo katika nchi kati ya uongozi wa kwanza mpaka wa mwisho ni ishara bado tumetawaliwa kupitia ukoloni mambo leo na anaekaa katika kiti cha enzi huamua kutokana na alivyokalishwa na atanena kwa kadiri ya wapendavyo na lililo sahihi hatotimiza hata kama anaona ?


Kwa wale msiopenda maswali na kusoma mada ni kuwa nataka kujua kwa nini ukivuka maji miradi inazinduliwa kila baada ya wiki moja .

Nawasilisha Duku duku langu lenye wivu tele kwa Tanganyika NB:- Sijahusisha Muungano kuvunjwa.

TANZANIA YANGU NCHI YANGU .
Ni ukweli kabisa tatizo ni kile CHOO KILICHOPO IKULU
 
Maendeleo yote sasa yameelekezwa kisiwani Zanzibar,huku Tanganyika kila kitu akipewa Muarab,muarabu hana adabu kuchukua bandari,mbuga,madini bado kuomba taarabu,Je Tanganyika imeuzwa na mnunuzi ni Zanzibar kupitia muarabu?
 
Maendeleo yote sasa yameelekezwa kisiwani Zanzibar,huku Tanganyika kila kitu akipewa Muarab,muarabu hana adabu kuchukua bandari,mbuga,madini bado kuomba taarabu,Je Tanganyika imeuzwa na mnunuzi ni Zanzibar kupitia muarabu?

maendeleo gani yaliyopelekwa zanzibar?
 
Miradi gani Mkubwa Zanzibar?Yenye Thamani gani?
Huku Tanganyika kuna miradi mizigo hata kama haijaisha na ina gharama Sana.Mfano Mradi wa Bwawa la Nyerere,Mradi wa SGR,Mradi wa Faraja la Busisi,Viwanja vya Ndege nk.Kwa mono wangu miradi ya Zenj ni mdogo yenye gharama ndogo.Mleta mada fafanua Mkuu.
 
Back
Top Bottom