Tabutupu
JF-Expert Member
- Nov 26, 2010
- 13,206
- 18,549
Sote tunajua awamu zilipo pita zilikua na.miradi lukiki isiyo na tija. Miradi ambayo kodi ya mwananchi ilitumika pasipo manufaa kama ile miradi ya mifuko ya jamaii na baadhi ya taasisi bila kusahau miradi hewa.
Awamu hii imekuja kivingine na imejipambanua kama ni awamu inayo taka kuonyesha thamani ya fedha kwa kila mradi na ukweli wamejitahidi sana.
Japo kuna madoa kidogo, wakati tunamaliza mwaka ebu tujikumbushe miradi isiyo na tija.
1. Ununuzi wa madiwani
2. Kurudia chaguzi za madiwani na wabunge just kumbadili mbunge chama.
3.
Sent using Jamii Forums mobile app
Awamu hii imekuja kivingine na imejipambanua kama ni awamu inayo taka kuonyesha thamani ya fedha kwa kila mradi na ukweli wamejitahidi sana.
Japo kuna madoa kidogo, wakati tunamaliza mwaka ebu tujikumbushe miradi isiyo na tija.
1. Ununuzi wa madiwani
2. Kurudia chaguzi za madiwani na wabunge just kumbadili mbunge chama.
3.
Sent using Jamii Forums mobile app