Mbona huwa unaropoka Tanzania tunatembeza kibakuliDeni lisikutie wasiwasi maana tulikopa sisi na tutalipa sisi, cha msingi ni kuhakikisha tunasimamisha miundo mbinu itakayotuweka kwenye level nyingine.
Tunapaa na kupepea, nyie hata mpewe madeni na fadhila na misaada hamna siku mtakaribia hata nyuma yetu.
Hehehe unadaiwa Ksh 79000Deni lisikutie wasiwasi maana tulikopa sisi na tutalipa sisi, cha msingi ni kuhakikisha tunasimamisha miundo mbinu itakayotuweka kwenye level nyingine.
Tunapaa na kupepea, nyie hata mpewe madeni na fadhila na misaada hamna siku mtakaribia hata nyuma yetu.
Hahaha kweli hii hatariWanatafuta sifa hakuna lolote
Hivi unajua kuwa mwaka jana
waziri wao wa elimu alitoa namba ya wanafunzi kushindwq kwenda shule kisa FUNZA!!!
Karne hii kwelu watu wanafunza
kenya pekee
Hahaha kabisaMbona huwa unaropoka Tanzania tunatembeza kibakuli
Kumbe nyie mnadeni kubwa zaidi yetu
Mbona huwa unaropoka Tanzania tunatembeza kibakuli
Kumbe nyie mnadeni kubwa zaidi yetu
Mh!!! Hii nihatari kwa Taifa
Linalo jiita lipo ulimwengu wa pili
Anamcheka nyani ajabuHahaha kabisa
huyuhuyu ndio kihelehele
Kwa ukweli hawa wanadharauDharau zao
wizi wao Roho mbaya zao siwapendi vibaya hawa watu
Wametumia ujanja kusema kenyaNasubiri wakenya waishiwe kuweka orodha ya miradi yao na sisi tuanze kuweka ya kwetu,iliyokamilika,iliyoanza na inayotarajiwa kuanza.najua tunayo mingi.tutaweka tu hats kama hawataki mana hakuna namna.
Kimweri Geza Ulole
In blue are the least developed nations in earth
View attachment 338155
The rest are middle income looking at industrialisation and pure development
America is capable of paying it hata Leo,America ina population ya 300,000,000
Ina deni la 17,000,000,000,000$
Kila marekani anadaiwa
56,666.666667$
Or
5,666,666.66667 kshs
Or
102,000,000 tzshs acha kuanika aibu yake the higher you go the more debt you accumulate
Economics 101 / keeping up with the jonesses
Kama umeenda chuo utajipata unajua haya
Samm999 hiyo ramani inaonyesha jinsi tumezungukwa na umaskini wakati sisi tunang'aa, hata sleeping giant limelala fofofo!!