Miradi mikubwa ya maji nchini Tanzania

Simplicity.

JF-Expert Member
Joined
Dec 19, 2013
Posts
2,636
Reaction score
1,662
Wakuu,

Kama kuna mtu anaweza kunisaidia documentation - authentic (ukiachilia Google docs), inayohusu miradi mikubwa ya maji nchini Tanzania, naomba msaada wake.
 
Inategemea ndugu mradi wa aina gani wa maji unaouzungumzia, maji taka, maji ya chupa ama maji kivipi? maji yanasambazwa kama commodity kwa mitindo tofauti. pambanua ndugu, mafundi wapo humu watatoa nasaha
 
Maelezo yako hayajajitosheleza kama alivyosema mkuu Kitope,data za aina gani unazohitaji na miradi ya nature gani ya visima,earth dams (lambo) ukubwa wa mradi kwa thamani au complexity funguka mkuu.
 
Last edited by a moderator:
Inategemea ndugu mradi wa aina gani wa maji unaouzungumzia, maji taka, maji ya chupa ama maji kivipi? maji yanasambazwa kama commodity kwa mitindo tofauti. pambanua ndugu, mafundi wapo humu watatoa nasaha

Maji safi mkuu.
 
Maelezo yako hayajajitosheleza kama alivyosema mkuu Kitope,data za aina gani unazohitaji na miradi ya nature gani ya visima,earth dams (lambo) ukubwa wa mradi kwa thamani au complexity funguka mkuu.

Miradi ya maji safi iliyowahi kutekelezwa na serikali au donors, ambayo coverage yake ni nchi nzima, zone au angalau mkoa. Data ninazohitaji ni mradi ulianzishwa na nani, lini, uliendeshwaje, ulifanikiwa kwa kiasi gani, ulikumbana na matatizo yapi, sustainability ya huo mradi au kama ulikufa kwa nini na data zingine zinazohusiana au kukaribiana na hizo nilizozitaja.
 

Miradi ya namna hiyo ni ya national level inabidi ujaribu kufika wizara ya maji nilidhani ni ile ya ngazi ya kijiji kama ile inayofadhiliwa na world bank ambayo hata mwenyekiti wa kijiji au kamati ya maji ya kijiji inaweza kuwa na taarifa zote hizo. Nadhani unaongelea miradi ya scale ya Lake Victoria to Kahama na inayofanana na hiyo. Tafuta makaratasi yanayotakiwa(supporting document) then nenda Ubungo wizara ya maji wanaweza kukusaidia.
 
Ripoti inaonesha nchini Tanzania MAHAKAMA inaongoza kwa vitendo vya RUSHWA ikifuatiwa na JESHI LA POLISI.Swali langu ni , Je, hata swala hili la ESCROW Likiachiwa mahakama kama muhimili wa Serikali wataweza kuupatia ufumbuzi stahiki ?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…