Iondoe chadema na uongeze ulivyoviachaNCCR,
TLP,
CUF,
CHADEMA,
ACT n.k
Siku wananchi wakijua umuhimu wa hii miradi kwa chama cha mapinduzi itakuwa mwanzo mzuri wa kujikomboa.
Ukweli kiasi kwa wakati huu unaweza kuwepoCHADEMA ni mradi wa kimkakati umefanikiwa kuwalaghai wasomi wengi including Tundu Lissu.
SIMBA NA YANGANCCR,
TLP,
CUF,
CHADEMA,
ACT n.k
Siku wananchi wakijua umuhimu wa hii miradi kwa chama cha mapinduzi itakuwa mwanzo mzuri wa kujikomboa.