Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 95,871
- 116,627
Usiwaamini hawa jamaa wao kila siku wanatafuta vizingizio vipyaSerikali wana uzembe. De-dolarization ilionekana muda mrefu sana lakini wakashindwa kujipanga na kupuuzia. Tungekuwa tunafanya transactions kwa national currencies badala ya dollar tungekuwa mbali mpaka muda huu. Kusingekuwa na hayo mambo ya kujifunga na currency moja.
Mkuu unauliza makofi kituo cha polisiHivi kupanda kwa dollar kuna athari yoyote kwa akiba za 'pesa madafu' zilizoko benki?
Hizi ni porojo za watawala hasa pale wanapoona mambo yanaharibika hupenda sana kuweka statement za jumla jumla kama huziNchi za Kiafrika ikiwemo Tanzania , zinatazamiwa kupata Anguko kubwa la thamani ya Shilingi yake, hii ni kutokana na Uhaba mkubwa wa Dolla, unaosababishwa na Trade Imbalance na mambo mengine ya kidunia yanayotokea huko.
Tujikumbushe muda wa hivi Karibuni paundi ya egypt ilipoteza thamani yake zaidi marambili dhidi ya Dolla ya kimarekani.
Moja kati ya Watumiaji wakubwa wa Dolla za kimarekani TAnzania ni watekelezaji wa Miradi mikubwa ya Kimkakati, ambapo mikataba yao mingi Huwa katika Fedha za dollari na Tanzania Shillings.
Habari zinadai Serikali Sasa imeshindwa kulipa watekelezaji wa Miradi mikubwa ya Kimkakati kwasababu ya kutokuwa na Dolla za kimarekani katika akiba , hivyo miradi mingi itasubiri upatikanaji wa Dolla za kimarekani Ili iendelee kukimbia mbio.
Serikali ya Tanzania ingeweza kupata Dolla nyingi za kimarekani kama ingewekeza vizuri katika kilimo, ambapo tungeweza kuuza nafaka nyingi za kutosha na kuweza kupata dollari za kimarekani, kwasasa Taifa linaingiza Dolla nyingi katika madini na Kwa upili ni katika utalii, ambapo bado hatujawekeza vya kutosha katika utalii.
Matarajio Kwa Hali inavyoelekea Sasa shilingi ya kitanzania inaweza kufikia 4000 Hadi 5000 Kwa Dolla moja ya kimarekani.
Hali hii itakuwa ni mbaya na italeta myumbo wa kisiasa hasa Kwa watawala.
Kwasasa serikali ingewekeza nguvu kubwa sana katika utalii na kilimo sehemu ambazo tunaweza kujipatia Fedha za kigeni.
Pia najiuliza inawezekana kweli Kuna Uhaba wa nafuta, kwanini kwasababu serikali Haina Dolla Sasa kama Haina Dolla itaagizaje mafuta , SEMA serikali haiwezi SEMA ukweli, itafikia wakati Hadi madawa tutashindwa nunua. Inflation inatarajiwa kuwa mlimani, nawashauri wenye Fedha zao bank wawekeze katika real estate ambayo Ina immunity na inflation
Uhapa wa dolla ndo umefanya walambe hadi reserves yetu .rais asiyejua kutafuta anajua kutumia ,hata alichoacha babaWakae mezani wachague aina nyingine ya fedha. Sio lazima USD.
Naona mnaanza kuleta janja janja ya kushindwa kutekeleza miradi kwa wakati.
Nakubaliana na ww utawala ulifilisika hutafuta sababu nyepesi nyepsi kam hiziKwamba wale watalii walioongezeka maradafu baada ya Royal Tour na Zile safari ambazo kila siku eti mama anazunguka kutupambania hazileti Dollar ?!!!!
Nadhani kwa talent ya Usanii Bongo tunge-invest kwenye Tamthiliya
Kwakifupi hata mshahara wako unapoteza thamani. Unaweza kudanganywa na nyongeza lakini mfumuko wa bei ukawa mkubwa kuliko nyongeza.Hivi kupanda kwa dollar kuna athari yoyote kwa akiba za 'pesa madafu' zilizoko benki?
Viongozi waliopewa dhamana na watanzania wanamikakati gani mpaka sasa katika kunusuru sarafu yetu? Au ndiyo CCM imezeeka?Nchi za Kiafrika ikiwemo Tanzania , zinatazamiwa kupata Anguko kubwa la thamani ya Shilingi yake, hii ni kutokana na Uhaba mkubwa wa Dolla, unaosababishwa na Trade Imbalance na mambo mengine ya kidunia yanayotokea huko.
Tujikumbushe muda wa hivi Karibuni paundi ya egypt ilipoteza thamani yake zaidi marambili dhidi ya Dolla ya kimarekani.
Moja kati ya Watumiaji wakubwa wa Dolla za kimarekani TAnzania ni watekelezaji wa Miradi mikubwa ya Kimkakati, ambapo mikataba yao mingi Huwa katika Fedha za dollari na Tanzania Shillings.
Habari zinadai Serikali Sasa imeshindwa kulipa watekelezaji wa Miradi mikubwa ya Kimkakati kwasababu ya kutokuwa na Dolla za kimarekani katika akiba , hivyo miradi mingi itasubiri upatikanaji wa Dolla za kimarekani Ili iendelee kukimbia mbio.
Serikali ya Tanzania ingeweza kupata Dolla nyingi za kimarekani kama ingewekeza vizuri katika kilimo, ambapo tungeweza kuuza nafaka nyingi za kutosha na kuweza kupata dollari za kimarekani, kwasasa Taifa linaingiza Dolla nyingi katika madini na Kwa upili ni katika utalii, ambapo bado hatujawekeza vya kutosha katika utalii.
Matarajio Kwa Hali inavyoelekea Sasa shilingi ya kitanzania inaweza kufikia 4000 Hadi 5000 Kwa Dolla moja ya kimarekani.
Hali hii itakuwa ni mbaya na italeta myumbo wa kisiasa hasa Kwa watawala.
Kwasasa serikali ingewekeza nguvu kubwa sana katika utalii na kilimo sehemu ambazo tunaweza kujipatia Fedha za kigeni.
Pia najiuliza inawezekana kweli Kuna Uhaba wa nafuta, kwanini kwasababu serikali Haina Dolla Sasa kama Haina Dolla itaagizaje mafuta , SEMA serikali haiwezi SEMA ukweli, itafikia wakati Hadi madawa tutashindwa nunua. Inflation inatarajiwa kuwa mlimani, nawashauri wenye Fedha zao bank wawekeze katika real estate ambayo Ina immunity na inflation
Hazina yetu wanajigawia ,mkuu na b mkubwa yupo anapakaa tu piko ,amewaachia akina mwiguluMagufuli alizotoa wapi dollar mbona mambo halikua yanaenda??
Huyu mama huyu!!
Huyo ni chawa wa mama hata mama akosoleweKwani wewe ulitaka nieleweje? Nimejibu kwa nafasi yangu, nawe elewa na ujibu kwa nafasi yako.
Miradi itekelezwe tu.
Usanii unaanziaga jikoni kabisa kwenye jumba la dhahabušKwamba wale watalii walioongezeka maradafu baada ya Royal Tour na Zile safari ambazo kila siku eti mama anazunguka kutupambania hazileti Dollar ?!!!!
Nadhani kwa talent ya Usanii Bongo tunge-invest kwenye Tamthiliya
Walianza na Covid-19, wakarukia Vita vya urusi na Ukraine𤣠baada ya kuona vita imepoa wameamua watembee na inflation. Uwezo ukiwa mdogo kubalini tu acheni porojooWamepata kisingizio kipya hicho hawa wajinga
Tatizo la kuteua ndugu, chawa na kadaWalianza na Covid-19, wakarukia Vita vya urusi na Ukraine𤣠baada ya kuona vita imepoa wameamua watembee na inflation. Uwezo ukiwa mdogo kubalini tu acheni porojoo
.Viongozi waliopewa dhamana na watanzania wanamikakati gani mpaka sasa katika kunusuru sarafu yetu? Au ndiyo CCM imezeeka?
.Hawa Huwa hawatafuti solution au hata kukiri tatizo lipo, watakuja na statement za kupinga na kukataa tatizo na Kusema ni upotoshaji
Upo vizuri,hakika unaufatilia mgogoro wa kuiondoa dollar.Serikali wana uzembe. De-dolarization ilionekana muda mrefu sana lakini wakashindwa kujipanga na kupuuzia. Tungekuwa tunafanya transactions kwa national currencies badala ya dollar tungekuwa mbali mpaka muda huu. Kusingekuwa na hayo mambo ya kujifunga na currency moja.