Songwe Yetu
Member
- Nov 22, 2021
- 84
- 99
Wilaya songwe bado imeendelea na maajabu yake. Wasimamizi waliofanya vibaya mpaka inatia kinyaaa bado mkurugenzi anawabembeleza. Kuna sehemu tulipita wakati tunakagua tukaaacha maelekezo wafanye marekebisho kwani ujenzi ulikuwa chini ya kiwango warekebishe madirisha, milango na madawati lakini kwa bahati mbaya marekebisho hayo hayajafanyika tuliporudi kukagua tena sasa sijajua tatizo nini?
Mkurugenzi chukua tahadhari kwa waliosimamia majengo ikumbukwe Rais wetu anatafuta hela kwa ajili ya miradi ya maendeleo na sio za kula watu. Sasa hivi wanawahonga watu wa halmashauri ili majengo yapokelewe hususani injia wa wilaya. Kuna baadhi ya majengo hayajakamilika na mengine hayapokelewa wakati mda wa kukabidhi umeshapita. Kuta zimepakaliwa rangi bila kupiga msasa madawati mabovu na madirisha mabovu majengo yananyufa kabla hayajaanza kutumia
Naonmba TAMISEMI na WIZARA YA ELIMU iimulike wilaya hii upande wa majengo hususani ya zahanati na mashule yanayojengwa, yapo chini ya kiwango Mkuu wa wilaya na mkurugenzi wapo tuu ofisini. Tamisemi iwachukulie hatua kwa kushindwa kusimamia maendeleo katika wilaya hii.
Mkurugenzi chukua tahadhari kwa waliosimamia majengo ikumbukwe Rais wetu anatafuta hela kwa ajili ya miradi ya maendeleo na sio za kula watu. Sasa hivi wanawahonga watu wa halmashauri ili majengo yapokelewe hususani injia wa wilaya. Kuna baadhi ya majengo hayajakamilika na mengine hayapokelewa wakati mda wa kukabidhi umeshapita. Kuta zimepakaliwa rangi bila kupiga msasa madawati mabovu na madirisha mabovu majengo yananyufa kabla hayajaanza kutumia
Naonmba TAMISEMI na WIZARA YA ELIMU iimulike wilaya hii upande wa majengo hususani ya zahanati na mashule yanayojengwa, yapo chini ya kiwango Mkuu wa wilaya na mkurugenzi wapo tuu ofisini. Tamisemi iwachukulie hatua kwa kushindwa kusimamia maendeleo katika wilaya hii.