Jatropha
JF-Expert Member
- Apr 9, 2009
- 1,151
- 200
Wana JF,
Hivi mna habari hapa nchini kuna utwaaji ardhi za wananchi kiholela (land redistribution) ukihamisha high value land kutoka kwa wanyonge na maskini kwenda kwa viongozi, matajiri na jamaa zao.
Kibaya zaidi mpango huo unasimamiwa na viongozi waandamizi wa chama tawala waliopewa nyadhifa nyeti kama za uwaziri katika Wizara ya Ardhi.
Fidia wananchi wanazostahili kwa mujibu wa sheria kwa ardhi yao inayotwaliwa inageuka EPA ya uchaguzi wa 2009 na 2010.
Hivi mna habari hapa nchini kuna utwaaji ardhi za wananchi kiholela (land redistribution) ukihamisha high value land kutoka kwa wanyonge na maskini kwenda kwa viongozi, matajiri na jamaa zao.
Kibaya zaidi mpango huo unasimamiwa na viongozi waandamizi wa chama tawala waliopewa nyadhifa nyeti kama za uwaziri katika Wizara ya Ardhi.
Fidia wananchi wanazostahili kwa mujibu wa sheria kwa ardhi yao inayotwaliwa inageuka EPA ya uchaguzi wa 2009 na 2010.