[h=3]MIRAJI KIKWETE ATOA FULANI KWA AJILI YA MSIBA WA MSANII MANGWEHA[/h]Posted by GLOBAL on June 2, 2013 at 5:00pm 0 Comments 1 Like
safi sana miraji....
hongera sana Miraji,hope kuna kitu umejifunza na wewe kupitia kifo cha mangwea na utajirekebisha
P funk fujo zote kwa Clouds kumbe wanagombania kujipendekeza kwa the 1st Family!
Mbona hii habari iko hapa JF tangu juzi!? au mleta mada anaishi North Korea?
Hakuna kilichojificha wote ni mateja, au ulivyosikia ni mtoto wa Kikwete ndio bichwa lako limepasuka ukadhani ni mtu wa maana sana? Huyo Miraji Kikwete ni mtoto wa maskani ya King"oko na ni mbwia unga mzuri tu.Sikubaliani na huyu dogo hata a unit coz kuspend hela nyingi kwenye mazishi wakati akiwa hai unakuwa huna mpango nae si ishu labda kuna kitu kimejificha nyuma yake