Waufukweni
JF-Expert Member
- May 16, 2024
- 2,060
- 5,648
Hivi karibuni kumekuwa na mashindano kila mahali yakibeba jina la Rais Samia, ambapo matukio kama haya yanaangaliwa kama sehemu ya mikakati ya kuimarisha mahusiano na wananchi kuelekea uchaguzi.
Hapo jana, Oktoba 27, Mwanamitindo maarufu Miriam Odemba alishiriki kwenye Samia Fashion Festival iliyofanyika Diamond Jubilee, ambapo alionekana akicheza na kuimba pamoja na watoto.
Hapo jana, Oktoba 27, Mwanamitindo maarufu Miriam Odemba alishiriki kwenye Samia Fashion Festival iliyofanyika Diamond Jubilee, ambapo alionekana akicheza na kuimba pamoja na watoto.