Mirija ya uzazi kuziba mwanaume

Isaack Newton

JF-Expert Member
Joined
Apr 15, 2013
Posts
594
Reaction score
291
Habari wakuu,!
Naomba kufafanuliwa hapa kwamba, hivi mirija ya uzazi ya mwanaume ikiziba haiwezi kuzibuliwa,? Na nini kinachosababisha kuziba kwa mirija ya mwanaume?. Maana sister yangu ana mme ambaye hawezi kusababisha mimba ,ameenda mpk India akaambiwa mirija imeziba mchanga lakini jogoo anawika na anauwezo wa ku ejaculate sasa kama ana uwezo wa ku ejaculate, kwanini asiweze kutungisha mimba,? Na kama mirija imeziba ejaculation inafanyika vipi?

Nawasilisha wakubwa.
 
Your Issue Is Very Controversial. huenda huna taarifa au majibu ya uhakika kuhusiana na tatizo la huyo bwana.
 
ejaculation uwa ni semen kutoka kwenye prostate n cowpers glands usaidia sperm kuogelea ila kama mirija kutoka kwenye testis imeziba atatoa kamas tu kutoka kwa gland bila sperm ver possible ata mm kwa biology yangu ya form four tu najua its possible
 
ejaculation uwa ni semen kutoka kwenye prostate n cowpers glands usaidia sperm kuogelea ila kama mirija kutoka kwenye testis imeziba atatoa kamas tu kutoka kwa gland bila sperm ver possible ata mm kwa biology yangu ya form four tu najua its possible

japo umeelezea juu juu sana lakini huo ndio ukweli. . uko sahihi mkuu.
shahawa sio manii pekeyake ni pamoja na mucus na vitu vingine.
 
japo umeelezea juu juu sana lakini huo ndio ukweli. . uko sahihi mkuu.
shahawa sio manii pekeyake ni pamoja na mucus na vitu vingine.

sasa mkuu unamaanisha kwamba sperm zinatoka sehemu nyingine na manii yanatoka sehem nyingine? Maana me ninavyojua kwamba kila kitu kinatoka kwenye korodani ambapo manii husaidia sperm kuogelea mpk kwenye yai.
 
Daah haya mambo ni kuomba Mungu tu aepushe mbali. Ntawakumbuka in my prayers ingawa siwajui. Watafanikiwa in Jesus name. Allah awape subra kwan hujibu kwa wakat wake. #Amen .
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…