Hance Mtanashati
JF-Expert Member
- Sep 7, 2016
- 20,137
- 26,189
Huyo teja lini aliwahi kumtoa msanii kimuziki istoshe huyo sidemirror hakua n kipaji zaidi ya kuforce kuimbaTangu Mirror aingie kwenye bifu zito na petii amepotea kabisa katika ramani ya muziki
Petii alimwambia kabisa bwana mdogo nitake radhi la sivyo utapotea kwenye gemu dogo akajifanya mjanja matokeo yake ndio hayo amepotea kweli hasikiki
Tangu abambe na ngoma yake ya one and only na kurudi katika ngoma ya pamoja na baraka the prince kapotea mazima
Hivi uwa kuna kama karahana Fulani hivi ukigombana na management