Misaada: Hospitali ipi Tanzania inatoa tiba ya varicose veins (mishipa iliovimba)

Misaada: Hospitali ipi Tanzania inatoa tiba ya varicose veins (mishipa iliovimba)

Balqior

JF-Expert Member
Joined
Jun 8, 2021
Posts
2,406
Reaction score
8,039
Mishipa ya damu kwenye mguu wangu wa kulia imevimba sana ivo inanipa changamoto ya muonekano, Nimegoogle nkajua ni shida ya varicose veins. Ili tatizo Halinipi maumivu wala complications ila inafanya mguu Wangu uonekane mbaya
Wapi naweza pata tiba ya hili tatizo kwa wenye uzoefu, Na bei ni sh ngapi
 
Mishipa ya damu kwenye mguu wangu wa kulia imevimba sana ivo inanipa changamoto ya muonekano, Nimegoogle nkajua ni shida ya varicose veins. Ili tatizo Halinipi maumivu wala complications ila inafanya mguu Wangu uonekane mbaya
Wapi naweza pata tiba ya hili tatizo kwa wenye uzoefu, Na bei ni sh ngapi
Habari,

Hili ni suala la vascular surgeon, hospitali za Muhimbili na Aga Khan(DSM) wanao hawa watoa huduma.

Gharama itategemea na maamuzi na hali halisi ya tatizo lako.
 
Back
Top Bottom