Misaada: jinsi ya ku update software ya simu (redmi note ten)

Uwe na bando la kutosha, na uwe na strong network.
 
1. Nenda Play store na download app inaitwa MIUI Updater

2. Baada ya kuweka MIUI Updater itakupa chagua la kudownload MIUI 13, chagua hiyo na usubilie mpaka imalizike.

3. Ukimaliza nenda Setting-> About halafu bonyeza logo ya MiUI version

4. Itakuja logo ya MiUI inayoonyesha version yake, bonyeza hiyo logo mara nyingi mpaka itokee ujumbe "additional update features are on"

5. Kisha upande wa juu Julia kwenye vidoti vitatu chagua "choose update package"

6. Utachagua faili ambalo MiUI Updater ilidownload ikishamiliza utapata android 12 na MiUI 13

Hawa jamaa Xiaomi kwenye software ni wazembe Sana bila kufanya hivyo utakesha hata network iwe na nguvu
 
Ngoja nijaribu

 
Nina 6gb internet ni H+ tigo
ili usihangaike Sana mkuu, toa hiyo laini yenye hizo GB 6 na iweke kwenye simu ingine kisha washa WiFi, hutamaliza ata dakika 30 utakuwa umemaliza kudownload

Ukitaka kuhangaika Hadi hizo GB 6 zinaisha na haijafika ata 2% basi endelea kutaka Ku download Kwa kutumia data Mkuu
 
Shukran mkuu nimefanikiwa

 
Masimu ya Kichina haya hovyo sanaa, mie mwenyewe nilikuwa na hiyo Redmi lkn ilichonifanya sina hamu.
 
Mkuu mimi toka mwezi wa 3 nishapata update ya android 12 kwenye Redmi Note 10 yangu.

 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…