Mr simple M
JF-Expert Member
- Sep 18, 2020
- 2,202
- 4,653
Naomba kufahamishwa je naweza kuendelea kupiga booster ata baada ya mahindi kutoa mbelewele na je kuna madhara yeyote katika matumizi ya booster natanguliza shukurani
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unaweza endelea kupiga hasa booster zenye potassium(k) kiasi kikubwa kwenye mchanganuo wa N. P. K mfano 10:7:35.Naomba kufahamishwa je naweza kuendelea kupiga booster ata baada ya mahindi kutoa mbelewele na je kuna madhara yeyote katika matumizi ya booster natanguliza shukurani