Misaada ndugu zangu

Misaada ndugu zangu

hivi inawezekanaje mtu kusahau username yake alafu ni msomi ambaye anatarajiwa kuja kujenga taifa,ni taifa gani linajengwa??

ushauri ;jaribu kuwasiliana na uongozi wa chuo
 
Misaada ndugu zangu;
Mdogo wangu amesahau username na password aliyotumia katika ku apply chuo naomba mtusaidie ushauri ndugu zangu(chuo ni MUST)
Actualy username ni form 4 index number pasword anaweza kwenda kwenye option ya forgot pasword afuate maelekezo, lamsingi awe na email aloitumia kufungua acount ya OAS
 
Msaada ndugu zangu;
Mdogo wangu amesahau username na password aliyotumia katika ku apply chuo naomba mtusaidie ushauri ndugu zangu(chuo ni MUST)
Yeah nimefanikiwa ndugu zangu ahsanten sana kwa ushauri wenu
 
Back
Top Bottom