Mahakama zipi? Mahakama hizi ambazo Jaji mkuu ana kadi ya ccm na anakwenda kuomba kuteuliwa na ccm kugombea urais? Wewe ni total mental case. Mipumbavu kama wewe iliyojazana kwenye vyama ndio imesababisha nisiwe mwanachama wa chama chochote.mahakaman hawakutakiwa kwenda kupinga matokeo ya urais, bali kupinga kufutwa kwa uchaguzi.
"Nchi yetu ina Mifumo yake" mawazo ya hivyo kabisa hayo.nchi yetu huru na ina mifumo yake, na kwa vyovyote vile kadhia kama hii ina jawabu lake katika mfumo. hatuwez kupata jawabu kwa vitisho vya misaada.
Nchi imegawanyika kisiasa kutokana na figisu za ccm, kujitegemea kwa % 100 haitowezekana. Haki ndio itakayoleta umoja na maendeleo ya kasi.View attachment 333235
MISAADA YA MAREKANI NA UHURU WETU KAMA TAIFA.
Marekani kupitia MCC imeridhia kuinyima Tanzania fedha za msaada zaidi tirioni na pia nchi yetu imetolewa kabisa kwenye orodha ya nchi ambazo zilikuwa zinanufaika na miradi ya MCC. Sababu hasa ni sheria ya makosa ya kimtandao na uchaguzi wa wazanzibar.
Watanzania hasa wapinzani wametumia hili kama kuonesha uhalali wa kile ambacho wanakipagania na ya kwamba ni sawa kwa nchi kunyimwa misaada hiyo.
Baadhi ya vifungu vya sheria za mtandao siviafiki, na mimi ni mmoja watu wengi wanao amini uchaguzi wa awali wa Zanzibar hakufutwa kwa mujibu wa sheria na pia haukuwa na mapungufu ya kuhitaji kufutwa na kurudiwa.
Pamoja na kuamini hayo, siafiki hata kidogo kuwa sheria ya makosa ya mtandao ifanyiwe marekebisho na matokeo ya uchaguzi wa awali wa Zanzibar yatangazwe kisa tu MAREKANI anataka hivyo. Kama taifa huru hatuwezi kukubali hilo hata kidogo.
Tunaweza kuweka sawa jambo lilopotoshwa kwa kutumia mifumo iliyopo ndani ya nchi yetu. Kuhusu sheria iliyopitishwa na bunge, kama tunaona sheria hiyo imekiuka katiba ya nchi, yaani kama kuna haki za msingi za kiraia na za kibinadamu zinakiukwa na sheria hii, jambo jepesi ni kwenda mahakamani kwa mtu yeyote au taasisi yoyote ambayo inaona haki hizo zimekiukwa, na si kunyimwa misadaa kama ni njia.
Kuhusu uchaguzi wa zanzibar mara kadhaa tumewasikia wanasheria wakifafanua vizuri kwa kuonesha kwa namna gani Jecha kama mwenyekiti wa ZEC hakuwa na mamlaka ya kisheria ya kufuta uchaguzi, na mambo mengine mengi yaloonesha uchaguzi wa awali ulikuwa halali na ulifutwa kimakosa. CUF wakasusia uchaguzi wa marudio na CCM ikaingia uwanjani bila mpinzani wake mkubwa.
Najua wengi wetu tulitaraji kufanyika mazungumzo kati ya CUF na CCM yenye tija kabla ya uchaguzi ule. Mazungumzo hayakuwa na tija sababu CUF ilitaka matokeo yatangazwe na CCM ilitumia kete ya kuheshimu maamuzi ya ZEC.
Kama hawa wawili wamekaa na wameshindwa kuelewana chini ya mwavuli wa siasa, kwa vyovyote vile iliyohitajika kuchukua mkondo ni SHERIA, na kwa sababu hiyo nilitaraji CUF kwenda mahakamani kuomba tafasiri ya kisheria juu ya vifungu ambavyo ZEC ilivikiuka wakati ikiamua na kutekeleza uamuzi wa KUFUTA matokeo ya uchaguzi.
Kimsingi baada ya mazungumzo ya kidugu kutofaa njia nyingine ya kidugu ya kutatatua mkwamo ule ilikuwa ni kufuata mkondo wa sheria. KINYUME NA HIVI NI MACHAFUKO NA GHASIA ama kuingilia uhuru wa nchi kujiendesha kwa mifumo yake ya ndani.
Huenda ni kweli mahakama zetu haziaminiki, na hasa ukizingatia kitendo cha Jaji Mkuu mstaafu kwenda kugombea urais kupitia CCM, lakini mahakama zetu hizihizi ambazo tumeona serikali ikishindwa kesi nyingi tu, na mahakama zetu hizihizi ambazo ndio ziko juu ya mihimili mingine ya dola na juu ya kila ya tasisi na mtu.
Marekani na dunia ione na kutambua, kuwa nchi yetu ni dola huru na ina mihimili mitatu, na wananchi tunajua nini serikali inatakiwa kufanya na nini hautakiwi kufanya kwa mujibu wa katiba, na kama tukiona mambo yanayo fanywa na serikali na vyombo vilivyo chini yake yanakanyaga katiba na sheria, ni wajibu wetu kuikosoa na kuielekeza nini ifanye kwa kupitia bunge, lakini isipokaa sawa na tukiona makosa yake yanakiuka katiba yanaendelea bila woga hatuhitaji MAREKANI itusaidie kuirekebisha serikali yetu midhali mahakama ZIPO na mara nyingi Mtikila alikuwa anaibwaga serikali mahakamani.
kwa vitabia hivi, vitisho hivi vya kunyimwa misaada kisa tu hatutaki kwenda kama waendavyo wakubwa, ndio naona umuhimu wa kujitegemea kwa % 100 kama taifa, na hapa ndipo ninapo muelewa na kumkubali Magufuli.
Hoja yangu, yaani turekebishe sheria ya makosa mtandao sababu MAREKANI inataka hivyo? au sababu kuna makosa yanayo hitaji marekebisho? Hivi yale matokeo ya uchaguzi wa awali yangetangazwa sababu ni sawa kufanya hivyo kisheria au kwasababu MAREKANI anataka yatangazwe?
Nchi yetu ina mfumo wa kikatiba na mfumo wa nchi yetu una majawabu yote juu ya kadhia iliyotokea Zanzibar na juu ya kasoro katika sheria ya makosa ya mtandao. Hatuwezi kuacha kufuata njia ya mfumo wetu kisha kama taifa tukubali kuendeshwa kwa mhemko wa MISAADA YA MCC.
Njano5
0622845394
kama marekani wanaheshimu utawala wa sheria wangeliwashauri cuf kushiriki uchaguzi badala ya kususia. kwanza misaada gani ya wamarekani..mtu anakupa shs 5000 mkono huu anachukua shs 200000 mkono mwingine. hasira yao ni kuona jinsi awamu ya 5 ilivyodhamiria kupambana na ufisadi na unyonyaji. bila ufisadi mikataba ya kuchuna mtu ngozi kama ile ya iptl, richmond, songas, agreco haiwezekani. nchi sasa inapambana na vibwanyenye uchwara vinavyofaidika na ubeberu wa marekani na wanyonyaji wote duniani.View attachment 333235
MISAADA YA MAREKANI NA UHURU WETU KAMA TAIFA.
Marekani kupitia MCC imeridhia kuinyima Tanzania fedha za msaada zaidi tirioni na pia nchi yetu imetolewa kabisa kwenye orodha ya nchi ambazo zilikuwa zinanufaika na miradi ya MCC. Sababu hasa ni sheria ya makosa ya kimtandao na uchaguzi wa wazanzibar.
Watanzania hasa wapinzani wametumia hili kama kuonesha uhalali wa kile ambacho wanakipagania na ya kwamba ni sawa kwa nchi kunyimwa misaada hiyo.
Baadhi ya vifungu vya sheria za mtandao siviafiki, na mimi ni mmoja watu wengi wanao amini uchaguzi wa awali wa Zanzibar hakufutwa kwa mujibu wa sheria na pia haukuwa na mapungufu ya kuhitaji kufutwa na kurudiwa.
Pamoja na kuamini hayo, siafiki hata kidogo kuwa sheria ya makosa ya mtandao ifanyiwe marekebisho na matokeo ya uchaguzi wa awali wa Zanzibar yatangazwe kisa tu MAREKANI anataka hivyo. Kama taifa huru hatuwezi kukubali hilo hata kidogo.
Tunaweza kuweka sawa jambo lilopotoshwa kwa kutumia mifumo iliyopo ndani ya nchi yetu. Kuhusu sheria iliyopitishwa na bunge, kama tunaona sheria hiyo imekiuka katiba ya nchi, yaani kama kuna haki za msingi za kiraia na za kibinadamu zinakiukwa na sheria hii, jambo jepesi ni kwenda mahakamani kwa mtu yeyote au taasisi yoyote ambayo inaona haki hizo zimekiukwa, na si kunyimwa misadaa kama ni njia.
Kuhusu uchaguzi wa zanzibar mara kadhaa tumewasikia wanasheria wakifafanua vizuri kwa kuonesha kwa namna gani Jecha kama mwenyekiti wa ZEC hakuwa na mamlaka ya kisheria ya kufuta uchaguzi, na mambo mengine mengi yaloonesha uchaguzi wa awali ulikuwa halali na ulifutwa kimakosa. CUF wakasusia uchaguzi wa marudio na CCM ikaingia uwanjani bila mpinzani wake mkubwa.
Najua wengi wetu tulitaraji kufanyika mazungumzo kati ya CUF na CCM yenye tija kabla ya uchaguzi ule. Mazungumzo hayakuwa na tija sababu CUF ilitaka matokeo yatangazwe na CCM ilitumia kete ya kuheshimu maamuzi ya ZEC.
Kama hawa wawili wamekaa na wameshindwa kuelewana chini ya mwavuli wa siasa, kwa vyovyote vile iliyohitajika kuchukua mkondo ni SHERIA, na kwa sababu hiyo nilitaraji CUF kwenda mahakamani kuomba tafasiri ya kisheria juu ya vifungu ambavyo ZEC ilivikiuka wakati ikiamua na kutekeleza uamuzi wa KUFUTA matokeo ya uchaguzi.
Kimsingi baada ya mazungumzo ya kidugu kutofaa njia nyingine ya kidugu ya kutatatua mkwamo ule ilikuwa ni kufuata mkondo wa sheria. KINYUME NA HIVI NI MACHAFUKO NA GHASIA ama kuingilia uhuru wa nchi kujiendesha kwa mifumo yake ya ndani.
Huenda ni kweli mahakama zetu haziaminiki, na hasa ukizingatia kitendo cha Jaji Mkuu mstaafu kwenda kugombea urais kupitia CCM, lakini mahakama zetu hizihizi ambazo tumeona serikali ikishindwa kesi nyingi tu, na mahakama zetu hizihizi ambazo ndio ziko juu ya mihimili mingine ya dola na juu ya kila ya tasisi na mtu.
Marekani na dunia ione na kutambua, kuwa nchi yetu ni dola huru na ina mihimili mitatu, na wananchi tunajua nini serikali inatakiwa kufanya na nini hautakiwi kufanya kwa mujibu wa katiba, na kama tukiona mambo yanayo fanywa na serikali na vyombo vilivyo chini yake yanakanyaga katiba na sheria, ni wajibu wetu kuikosoa na kuielekeza nini ifanye kwa kupitia bunge, lakini isipokaa sawa na tukiona makosa yake yanakiuka katiba yanaendelea bila woga hatuhitaji MAREKANI itusaidie kuirekebisha serikali yetu midhali mahakama ZIPO na mara nyingi Mtikila alikuwa anaibwaga serikali mahakamani.
kwa vitabia hivi, vitisho hivi vya kunyimwa misaada kisa tu hatutaki kwenda kama waendavyo wakubwa, ndio naona umuhimu wa kujitegemea kwa % 100 kama taifa, na hapa ndipo ninapo muelewa na kumkubali Magufuli.
Hoja yangu, yaani turekebishe sheria ya makosa mtandao sababu MAREKANI inataka hivyo? au sababu kuna makosa yanayo hitaji marekebisho? Hivi yale matokeo ya uchaguzi wa awali yangetangazwa sababu ni sawa kufanya hivyo kisheria au kwasababu MAREKANI anataka yatangazwe?
Nchi yetu ina mfumo wa kikatiba na mfumo wa nchi yetu una majawabu yote juu ya kadhia iliyotokea Zanzibar na juu ya kasoro katika sheria ya makosa ya mtandao. Hatuwezi kuacha kufuata njia ya mfumo wetu kisha kama taifa tukubali kuendeshwa kwa mhemko wa MISAADA YA MCC.
Njano5
0622845394
kama maogezi katika meza yalishindikana unafikiri suluhisho lilikuwa ni nini? unajua kwanini watumishi wa Ubolozi SA wamerudishwa muulize Maalim alifanya nini nao wenzie wamerudishwa, kwanini haendi na wenzie kwenye mazungumzo anaenda mwenyewe? jiulize kabla hujahoji , je sheria inasema nini hali ikiwa hivyo.Maneno meeengi lakini bado hujaweka sawa. Kuhusu Zanzibar kilichofanyika ni sawa? Jee Uhuru wetu kama taifa ni kuwanyima wengi haki yao ili kuwafurahisha wachache?
Misaada au bila misaada, kilichofanyika kule sio haki na ni cha kukemea sisi wenyewe, labda USA wameona wakemeaji wa ndani hawasikilizwi wameamua kusaidia kwa vitendo pale itakapo uma
nchi yetu huru na ina mifumo yake, na kwa vyovyote vile kadhia kama hii ina jawabu lake katika mfumo. hatuwez kupata jawabu kwa vitisho vya misaada.
Duh! Hii ngumi ya uso hasa, kapigwa jamaa nadhani kaomba na maji kabisa. Kuna watu lazima waambiwe ukweli in hardwayMahakama zipi? Mahakama hizi ambazo Jaji mkuu ana kadi ya ccm na anakwenda kuomba kuteuliwa na ccm kugombea urais? Wewe ni total mental case. Mipumbavu kama wewe iliyojazana kwenye vyama ndio imesababisha nisiwe mwanachama wa chama chochote.
hio ni nonsense mkuu kwasababu hata kule burundi nkuruzinza alisema burundi ni huru haipaswi kuingiliwa kwenye maamuz yake...pia mahakam ya katiba ilimpa go ahead nkuruzinza kugombea tena japokuwa wote tunajua haikuwa sawa kwahio kama wewe kwako unaona right basi usijue kwamba na jumuiya za kimataifa znaona right...eti uhuru? uhuru kufanyiana dhulma ndo uhuru wewe? naona chama chenu kinawatuma sana cku hizi kuja kutetea ushetan mlioufanya zenjiView attachment 333235
MISAADA YA MAREKANI NA UHURU WETU KAMA TAIFA.
Marekani kupitia MCC imeridhia kuinyima Tanzania fedha za msaada zaidi tirioni na pia nchi yetu imetolewa kabisa kwenye orodha ya nchi ambazo zilikuwa zinanufaika na miradi ya MCC. Sababu hasa ni sheria ya makosa ya kimtandao na uchaguzi wa wazanzibar.
Watanzania hasa wapinzani wametumia hili kama kuonesha uhalali wa kile ambacho wanakipagania na ya kwamba ni sawa kwa nchi kunyimwa misaada hiyo.
Baadhi ya vifungu vya sheria za mtandao siviafiki, na mimi ni mmoja watu wengi wanao amini uchaguzi wa awali wa Zanzibar hakufutwa kwa mujibu wa sheria na pia haukuwa na mapungufu ya kuhitaji kufutwa na kurudiwa.
Pamoja na kuamini hayo, siafiki hata kidogo kuwa sheria ya makosa ya mtandao ifanyiwe marekebisho na matokeo ya uchaguzi wa awali wa Zanzibar yatangazwe kisa tu MAREKANI anataka hivyo. Kama taifa huru hatuwezi kukubali hilo hata kidogo.
Tunaweza kuweka sawa jambo lilopotoshwa kwa kutumia mifumo iliyopo ndani ya nchi yetu. Kuhusu sheria iliyopitishwa na bunge, kama tunaona sheria hiyo imekiuka katiba ya nchi, yaani kama kuna haki za msingi za kiraia na za kibinadamu zinakiukwa na sheria hii, jambo jepesi ni kwenda mahakamani kwa mtu yeyote au taasisi yoyote ambayo inaona haki hizo zimekiukwa, na si kunyimwa misadaa kama ni njia.
Kuhusu uchaguzi wa zanzibar mara kadhaa tumewasikia wanasheria wakifafanua vizuri kwa kuonesha kwa namna gani Jecha kama mwenyekiti wa ZEC hakuwa na mamlaka ya kisheria ya kufuta uchaguzi, na mambo mengine mengi yaloonesha uchaguzi wa awali ulikuwa halali na ulifutwa kimakosa. CUF wakasusia uchaguzi wa marudio na CCM ikaingia uwanjani bila mpinzani wake mkubwa.
Najua wengi wetu tulitaraji kufanyika mazungumzo kati ya CUF na CCM yenye tija kabla ya uchaguzi ule. Mazungumzo hayakuwa na tija sababu CUF ilitaka matokeo yatangazwe na CCM ilitumia kete ya kuheshimu maamuzi ya ZEC.
Kama hawa wawili wamekaa na wameshindwa kuelewana chini ya mwavuli wa siasa, kwa vyovyote vile iliyohitajika kuchukua mkondo ni SHERIA, na kwa sababu hiyo nilitaraji CUF kwenda mahakamani kuomba tafasiri ya kisheria juu ya vifungu ambavyo ZEC ilivikiuka wakati ikiamua na kutekeleza uamuzi wa KUFUTA matokeo ya uchaguzi.
Kimsingi baada ya mazungumzo ya kidugu kutofaa njia nyingine ya kidugu ya kutatatua mkwamo ule ilikuwa ni kufuata mkondo wa sheria. KINYUME NA HIVI NI MACHAFUKO NA GHASIA ama kuingilia uhuru wa nchi kujiendesha kwa mifumo yake ya ndani.
Huenda ni kweli mahakama zetu haziaminiki, na hasa ukizingatia kitendo cha Jaji Mkuu mstaafu kwenda kugombea urais kupitia CCM, lakini mahakama zetu hizihizi ambazo tumeona serikali ikishindwa kesi nyingi tu, na mahakama zetu hizihizi ambazo ndio ziko juu ya mihimili mingine ya dola na juu ya kila ya tasisi na mtu.
Marekani na dunia ione na kutambua, kuwa nchi yetu ni dola huru na ina mihimili mitatu, na wananchi tunajua nini serikali inatakiwa kufanya na nini hautakiwi kufanya kwa mujibu wa katiba, na kama tukiona mambo yanayo fanywa na serikali na vyombo vilivyo chini yake yanakanyaga katiba na sheria, ni wajibu wetu kuikosoa na kuielekeza nini ifanye kwa kupitia bunge, lakini isipokaa sawa na tukiona makosa yake yanakiuka katiba yanaendelea bila woga hatuhitaji MAREKANI itusaidie kuirekebisha serikali yetu midhali mahakama ZIPO na mara nyingi Mtikila alikuwa anaibwaga serikali mahakamani.
kwa vitabia hivi, vitisho hivi vya kunyimwa misaada kisa tu hatutaki kwenda kama waendavyo wakubwa, ndio naona umuhimu wa kujitegemea kwa % 100 kama taifa, na hapa ndipo ninapo muelewa na kumkubali Magufuli.
Hoja yangu, yaani turekebishe sheria ya makosa mtandao sababu MAREKANI inataka hivyo? au sababu kuna makosa yanayo hitaji marekebisho? Hivi yale matokeo ya uchaguzi wa awali yangetangazwa sababu ni sawa kufanya hivyo kisheria au kwasababu MAREKANI anataka yatangazwe?
Nchi yetu ina mfumo wa kikatiba na mfumo wa nchi yetu una majawabu yote juu ya kadhia iliyotokea Zanzibar na juu ya kasoro katika sheria ya makosa ya mtandao. Hatuwezi kuacha kufuata njia ya mfumo wetu kisha kama taifa tukubali kuendeshwa kwa mhemko wa MISAADA YA MCC.
Njano5
0622845394
..Ebo!! nilikuwa namsoma huku nashangaa huyu jamaa mbona anapingana na tamko la chama chao,kumbe...!!!Kaka usidhani utimamu wa mtu kuweza kupost utumbo kwenye internet naye anaweza kuhesabiwa yupo sawa kichwani.
Huyo jamaa ni mfalme wa kupost pumba hapa JF, hajui hata anachokisimamia, alidandia treni ya Zitto Kabwe bila kujuwa inakoelekea sasa hivi ati na yeye ni mchambuzi hapa JF!! Tumeingiliwa.
Tofauti yake ni nini!!mahakaman hawakutakiwa kwenda kupinga matokeo ya urais, bali kupinga kufutwa kwa uchaguzi.
Acha abaki na misaada yake,hivi ni sahihi mwanaume wa kwingine kuja kukuamulia/kukuelekeza how to run your family?,kwa mimi kwangu nafanya navyoona inafaa bila kujali jirani atatesema nini au ataninyima nini,tunatakiwa kuwa huru wa kufanya yetu vyovyote tutakavyoona
View attachment 333235
MISAADA YA MAREKANI NA UHURU WETU KAMA TAIFA.
Marekani kupitia MCC imeridhia kuinyima Tanzania fedha za msaada zaidi tirioni na pia nchi yetu imetolewa kabisa kwenye orodha ya nchi ambazo zilikuwa zinanufaika na miradi ya MCC. Sababu hasa ni sheria ya makosa ya kimtandao na uchaguzi wa wazanzibar.
Watanzania hasa wapinzani wametumia hili kama kuonesha uhalali wa kile ambacho wanakipagania na ya kwamba ni sawa kwa nchi kunyimwa misaada hiyo.
Baadhi ya vifungu vya sheria za mtandao siviafiki, na mimi ni mmoja watu wengi wanao amini uchaguzi wa awali wa Zanzibar hakufutwa kwa mujibu wa sheria na pia haukuwa na mapungufu ya kuhitaji kufutwa na kurudiwa.
Pamoja na kuamini hayo, siafiki hata kidogo kuwa sheria ya makosa ya mtandao ifanyiwe marekebisho na matokeo ya uchaguzi wa awali wa Zanzibar yatangazwe kisa tu MAREKANI anataka hivyo. Kama taifa huru hatuwezi kukubali hilo hata kidogo.
Tunaweza kuweka sawa jambo lilopotoshwa kwa kutumia mifumo iliyopo ndani ya nchi yetu. Kuhusu sheria iliyopitishwa na bunge, kama tunaona sheria hiyo imekiuka katiba ya nchi, yaani kama kuna haki za msingi za kiraia na za kibinadamu zinakiukwa na sheria hii, jambo jepesi ni kwenda mahakamani kwa mtu yeyote au taasisi yoyote ambayo inaona haki hizo zimekiukwa, na si kunyimwa misadaa kama ni njia.
Kuhusu uchaguzi wa zanzibar mara kadhaa tumewasikia wanasheria wakifafanua vizuri kwa kuonesha kwa namna gani Jecha kama mwenyekiti wa ZEC hakuwa na mamlaka ya kisheria ya kufuta uchaguzi, na mambo mengine mengi yaloonesha uchaguzi wa awali ulikuwa halali na ulifutwa kimakosa. CUF wakasusia uchaguzi wa marudio na CCM ikaingia uwanjani bila mpinzani wake mkubwa.
Najua wengi wetu tulitaraji kufanyika mazungumzo kati ya CUF na CCM yenye tija kabla ya uchaguzi ule. Mazungumzo hayakuwa na tija sababu CUF ilitaka matokeo yatangazwe na CCM ilitumia kete ya kuheshimu maamuzi ya ZEC.
Kama hawa wawili wamekaa na wameshindwa kuelewana chini ya mwavuli wa siasa, kwa vyovyote vile iliyohitajika kuchukua mkondo ni SHERIA, na kwa sababu hiyo nilitaraji CUF kwenda mahakamani kuomba tafasiri ya kisheria juu ya vifungu ambavyo ZEC ilivikiuka wakati ikiamua na kutekeleza uamuzi wa KUFUTA matokeo ya uchaguzi.
Kimsingi baada ya mazungumzo ya kidugu kutofaa njia nyingine ya kidugu ya kutatatua mkwamo ule ilikuwa ni kufuata mkondo wa sheria. KINYUME NA HIVI NI MACHAFUKO NA GHASIA ama kuingilia uhuru wa nchi kujiendesha kwa mifumo yake ya ndani.
Huenda ni kweli mahakama zetu haziaminiki, na hasa ukizingatia kitendo cha Jaji Mkuu mstaafu kwenda kugombea urais kupitia CCM, lakini mahakama zetu hizihizi ambazo tumeona serikali ikishindwa kesi nyingi tu, na mahakama zetu hizihizi ambazo ndio ziko juu ya mihimili mingine ya dola na juu ya kila ya tasisi na mtu.
Marekani na dunia ione na kutambua, kuwa nchi yetu ni dola huru na ina mihimili mitatu, na wananchi tunajua nini serikali inatakiwa kufanya na nini hautakiwi kufanya kwa mujibu wa katiba, na kama tukiona mambo yanayo fanywa na serikali na vyombo vilivyo chini yake yanakanyaga katiba na sheria, ni wajibu wetu kuikosoa na kuielekeza nini ifanye kwa kupitia bunge, lakini isipokaa sawa na tukiona makosa yake yanakiuka katiba yanaendelea bila woga hatuhitaji MAREKANI itusaidie kuirekebisha serikali yetu midhali mahakama ZIPO na mara nyingi Mtikila alikuwa anaibwaga serikali mahakamani.
kwa vitabia hivi, vitisho hivi vya kunyimwa misaada kisa tu hatutaki kwenda kama waendavyo wakubwa, ndio naona umuhimu wa kujitegemea kwa % 100 kama taifa, na hapa ndipo ninapo muelewa na kumkubali Magufuli.
Hoja yangu, yaani turekebishe sheria ya makosa mtandao sababu MAREKANI inataka hivyo? au sababu kuna makosa yanayo hitaji marekebisho? Hivi yale matokeo ya uchaguzi wa awali yangetangazwa sababu ni sawa kufanya hivyo kisheria au kwasababu MAREKANI anataka yatangazwe?
Nchi yetu ina mfumo wa kikatiba na mfumo wa nchi yetu una majawabu yote juu ya kadhia iliyotokea Zanzibar na juu ya kasoro katika sheria ya makosa ya mtandao. Hatuwezi kuacha kufuata njia ya mfumo wetu kisha kama taifa tukubali kuendeshwa kwa mhemko wa MISAADA YA MCC.
Njano5
0622845394